Ahsante Rais Samia, kwa hili Watumishi wa Umma tumekuelewa sana

Niliajiriwa 2013 tokea hapo sijawahi panda daraja.

Mwendazake alinyonya sana haki yetu.

Tena zile haki za kisheria kama increments ila mama ameponya majeraha ya msukuma.

Watumishi kwenye BAJETI 2021/22.

1. PAYE imeshushwa kutoka 9% mpaka 8%.

2. Bil 449 kwa ajili ya kupandisha vyeo watumishi 92,619.

3. Kutolewa kwa 6% ya tozo ya kulinda thamani ya mkopo wa elimu ya juu (Value Retention Fees).

4. Madiwani, Maafisa Tarafa na Watendaji kata kulipwa 100,000 kila mwezi kama posho.

5. Michango ya PSSF kulipwa direct kutoka Hazina badala ya ofisi za serikali kupeleka zenyewe.

TUMEKUELEWA mama, tunasubiri nyongeza ya mwakani.

Ijumaa nilipata barua yangu ya daraja safiii na sasa nasubiri NMB kitu kipya kiteme.

Ila kiukweli ukisomaa sheria za utumishi, kwasasa nilistahili kuwa juu ya daraja hili nililopandishwa sasa, ila yule msukuma yule sijui anaenda kuongoza malaika gani wanaozuia haki za watu tena za kisheria.

#ASANTE MAMA.

Cha ajabu kupandishwa huku madaraja mpaka MATAGA wamefurahia.

Yaani MATAGA walewale waliokuwa wana "support" mwendazake asiongeze kitu, ndio haohao wanaokenua mama alivyoongeza..!!!

#YNWA
Hongera mheshimiwa Rais SSH, mimi binafsi nilipata barua kutoka HESLB ya VRF ya million kazaa, wiki hiyo hiyo mheshimiwa kapiga chini VRF na Sasa nasubiri kupanda daraja ntalaantalaa. Hongera mkuu najua barua yako imesoma kuanzia 01/06/2021
 
Wewe ni **** unanijua?

POLE.

NENDA IRINGA KILOLO ULIZA LIVERPOOL WA MAPARACHICHI FALA WEWE.

Unajua msimu huu nimechuma michumo mingapi, ya Tani ngapi, na mkenya kaniingizia TShs ngapi CRDB?

Unajua kuwa muda huu Nauza rejected Tani ngapi, na TShs ngapi?

Unataka nifunguke...

Njoo huku nikuonyeshe misitu ya pine na mlingoti yenye miaka zaidi ya mi5.

Nyauu kabisaaa

Kuna watu hatupendi na hatutaki BUSINESS tunapenda INVESTMENT.

INVESTING IS BETTER THAN BUSINESS.

ACHA DHARAU.

#YNWA
😂😂😂
 
Hivi ni lini mwalimu wa Tanzania naye ataanza kulipwa posho?

Kumkubali huyo mama ambaye ni zao la udhalimu wa mwendazake mimi wala siungani naye. Kipindi nateseka alikuwa VP na hakuwahi hata kutoa tamko.

Watumishi tuna madai mengi sana kuanza kusifia mapema namna hii wakati hadi muda hakuna kilichobadilika mfukoni inaonesha ni jinsi gani watumishi wa umma hatujielewi.

CCM ni ileile na viongozi ni walewale. Watumishi wa umma ni muda kutafuta malisho mengine huku tukifanya kazi zao kadiri tunavyolipwa.

Mtumishi wa umma kumsubiri mwanasiasa akupe mishahara minono ni sawa kumtegemea shetani akupeleke mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu umezaliwa lini ww mpaka useme "huyu mama kipindi cha mwendazake hakusema kitu? Ina maana ulikuwa hujui ukiwa against na mze baba nn kinakukuta?acha mama atengeneze anapoweza ,mimi nadhani matumaini ya binadamu wanaoishi hapa tz ni makubwa mno sasa hv na tunamkubali mama kuliko maviwanda mliokuwa mnataka mjenge kwanza ndipo watu wapate maslahi yao ya kisheria cjui ingechukua karne ngapi
 
Mkuu tuombe Mungu atufikishe tena tarehe 01/05/2022.

Hadi muda huu ninapoandika tulitakiwa tuongezwe angalau 18% ya salary. Ila mama naye kama ilivyokuwa kwa mwendazake, kamute.

Na hiyo 18% ni kwa ajili ya manunuzi ya chakula na bills zingine. Sasa sijui kama hiyo mwakani ataongeza salary kwa 100%?

Juisi ni ileile kwenye chupa mpya. Mwanasiasa anaweza kukwambia mwakani na mwakani ikifika atabadili lugha akwambie ile board ya mishahara haijakamilisha kazi ya kutathimini aongeze mshahara kwa kiwango gani.

Natamani niandike mambo mengi ila naamini bado hautanielewa sababu una mahaba na wanasiasa ambao mimi nishawajua rangi zao halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kuna baadhi ya wanasiasa wanatia matumaini,ni sawa na kuuguza mgonjwa alaf umwambie haa ww hauponi subir kufa,,kwa hiyo ww ulitaka nchi hii aongoze malaika?coz kila atakayekuja ni mwanasiasa so tuangalie nafuu tunaiyoipata lakin wote ni wanasiasa.
 
Mkuu umeongea vema sana tena hisia kali. Ila nitajibu kistaarabu kabisa.

Hao wananchi si ndiyo wale wale wanaoshangilia kuona mtumishi anatumbuliwa?

Hao wananchi si ndiyo wale wanaowachukia watumishi na wakuwaita wezi? Hivi mwalimu wa chekechea anaiba nini, chaki?

Hao wananchi si ndiyo walioshangilia kipindi cha mwendazake kuwa watumishi wa umma nidhamu imerudi kazini lakini wakasahau kuwa watumishi wanaishi kama vinyamkera kwenye nchi yao wenyewe?

Umeongelea mwalimu ambaye ameshakuwa punching bag ya wanasiasa. Vibao, viboko, kufungwa, kudhulumiwa, kudekishwa madarasa, kuonewa nk hufanyiwa yeye na bado unataka akufundishie mwanao kwa weledi?

Wanafunzi wakifaulu lawama kwa mwalimu. Wakifeli lawama kwa mwalimu. Wasijue kusoma lawama kwa mwalimu.

Mwalimu yuleyule ambaye hajawahi kujengewa makazi na serikali, hajapanda daraja miaka 7, hana posho, hana nyongeza ya mshahara kwa miaka 7, analipa kodi na bili zote kwa mshahara wa laki 2.

Huyo uliyemtaja ni mungu na sio Mungu. Kipindi hiki watumishi wanafanya kazi kulingana na wanavyolipwa. Huwezi kufanya kazi kiweledi kwenye nchi yenye double standard kama hii ambayo wanasiasa kutwa kucha wanakuka mema ya nchi hata wakitegemea watumishi wa chini wakalipwe mbinguni, mbingu ipi inayoonea watu wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba,watumishi wa umma mliajiriwa na umma moja kwa moja tangu mlipotoka vyuoni,Kama mngeajiriwa angalau miezi miwili na wahindi au wachina ndo ungenielewa.Lakini kwa sababu mliingia kwenye neema moja kwa moja,
alipokuja mtawala aliyewaonyesha kilichopo upande wa pili mnalaani mbingu na ardhi.
Na kwa kukupa taarifa tu, hakuna mtu anayenyonywa kama niliowataja,wakitanguliwa na mkulima.

Na hili ndilo kundi kubwa linaloumia nchi hii,maana lenyewe halijui kitu kinaitwa kupanda madaraja kwa mujibu wa sheria
ni bidii yako na pengine hata hiyo bidii isionekane kabisa,na huna mtu wakumdai rushwa maana ukimzingua mteja anahamia ofisi nyingine
inayotoa huduma kama hiyo. Ofisi za umma mnatupangisha foleni mpaka jioni na kesho yake tunarudi
maana hakuna mbadala.
 
Mwalimu yuleyule ambaye hajawahi kujengewa makazi na serikali, hajapanda daraja miaka 7, hana posho, hana nyongeza ya mshahara kwa miaka 7, analipa kodi na bili zote kwa mshahara wa laki 2.
Vipi akistaafu,mafao anayolipwa na mfuko wa hifadhi ya elimu ukimlinganisha na mfanyakazi wa mhindi?
yeye analipwa 75% na mfanyakazi wa kiwanda cha binafsi analipwa 25%(nssf) kumbuka huyu hana hata pa kufundisha tuition.
Watumishi wa umma mnaruhusiwa kuingiza magari kwa kulipia VAT tu kila baada ya miaka mitano,hiyo siyo double standard?
Nani alikataa kuwa mtumishi wa umma? Na kama ualimu ni adhabu mbona wanasomea kila kukicha na wanataka kuajiriwa ili nafasi hakuna?
 
Hivi ni lini mwalimu wa Tanzania naye ataanza kulipwa posho?

Kumkubali huyo mama ambaye ni zao la udhalimu wa mwendazake mimi wala siungani naye. Kipindi nateseka alikuwa VP na hakuwahi hata kutoa tamko.

Watumishi tuna madai mengi sana kuanza kusifia mapema namna hii wakati hadi muda hakuna kilichobadilika mfukoni inaonesha ni jinsi gani watumishi wa umma hatujielewi.

CCM ni ileile na viongozi ni walewale. Watumishi wa umma ni muda kutafuta malisho mengine huku tukifanya kazi zao kadiri tunavyolipwa.

Mtumishi wa umma kumsubiri mwanasiasa akupe mishahara minono ni sawa kumtegemea shetani akupeleke mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
YAANI WEWE HUNA AKILI HATA KIDOGO NI PUMBA AMBAZO HATA NDEGE HAWAZILI NA INAWEZEKANA SIYO MTUMISHI UNADANDIA MAMBO YA WATU TU
 
Pelekeni ujinga wenu wa ubinafsi huko, mnafikiri kila mtu kaajiriwa na serikali.
Nyinyi Mwendazake alikataa kuwapandisha madaraja na marupurupu kwasababu wengi ni majizi ya nchi hii,mnajitungia semina za ajabu ajabu kisha mnakula hela yetu ya kodi.

Watumishi wenyewe wavivu,wezi na wala rushwa wakubwa
Mkuu Kunywa maji moyo uelee,sio kwa chuki hizo.
 
Ila kiukweli ukisomaa sheria za utumishi, kwasasa nilistahili kuwa juu ya daraja hili nililopandishwa sasa, ila yule msukuma yule sijui anaenda kuongoza malaika gani wanaozuia haki za watu tena za kisheria.


Yule ni shetani,ibilisi na afe tena huko
yule kazi yake kamaliza,kazi kwako kupigania tako lako lisife.kama unaweza.
 
Vipi akistaafu,mafao anayolipwa na mfuko wa hifadhi ya elimu ukimlinganisha na mfanyakazi wa mhindi?
yeye analipwa 75% na mfanyakazi wa kiwanda cha binafsi analipwa 25%(nssf) kumbuka huyu hana hata pa kufundisha tuition.
Watumishi wa umma mnaruhusiwa kuingiza magari kwa kulipia VAT tu kila baada ya miaka mitano,hiyo siyo double standard?
Nani alikataa kuwa mtumishi wa umma? Na kama ualimu ni adhabu mbona wanasomea kila kukicha na wanataka kuajiriwa ili nafasi hakuna?
UALIMU ni kazi ya watoto wa maskini ambao wana kuwa HAWANA MEANS OR ANY ALTERNATIVE LEFT.
 
YAANI WEWE HUNA AKILI HATA KIDOGO NI PUMBA AMBAZO HATA NDEGE HAWAZILI NA INAWEZEKANA SIYO MTUMISHI UNADANDIA MAMBO YA WATU TU
Sina muda wa kubishana na zuzu ambaye aliishia darasa la pili.

Mimi sio wa mtumishi wa(ndani,kuchunga ng'ombe) kama ulivyojitambulisha wewe. Mimi ni mtumishi wa umma ambaye najielewa. Siwezi kusifia wakati nina madai lukuki ninayoidai serikali.

Wewe mnyonge njoo tukupigishe foreni kwenye huduma za umma hadi akili zikukae sawa. Na babu yenu hayupo kipindi hiki mbona mtanyooka tu.

Hata asipoongeza mishahara kwa kipindi chote hiki nanyi mtapata huduma duni hivyohivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom