Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Kwa yeyote aliyekuwepo M city siku ya jana ilikuwa ni siku ya aina yake. Palijaa 'Chekechea' kutoka kila kona ya jiji hili...
Selfie zilikuwa zinapigwa kila mahali. Nilifurahi pia kumuona Mwakyembe akikatiza kwenye viunga vya M city.
Magari ya 'polisi wa Makonda' nayo yalijaa kuzunguka viunga vya M city...
INAPENDEZA sana wana Daslama wanapokutana na kufurahi kwa pamoja kama ilivyokuwa siku ya jana...
Selfie zilikuwa zinapigwa kila mahali. Nilifurahi pia kumuona Mwakyembe akikatiza kwenye viunga vya M city.
Magari ya 'polisi wa Makonda' nayo yalijaa kuzunguka viunga vya M city...
INAPENDEZA sana wana Daslama wanapokutana na kufurahi kwa pamoja kama ilivyokuwa siku ya jana...