Asante Makonda kwa kutujazia 'chekechea' Mlimani city! Kwa kweli palipendeza!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,744
Kwa yeyote aliyekuwepo M city siku ya jana ilikuwa ni siku ya aina yake. Palijaa 'Chekechea' kutoka kila kona ya jiji hili...
Selfie zilikuwa zinapigwa kila mahali. Nilifurahi pia kumuona Mwakyembe akikatiza kwenye viunga vya M city.
Magari ya 'polisi wa Makonda' nayo yalijaa kuzunguka viunga vya M city...
INAPENDEZA sana wana Daslama wanapokutana na kufurahi kwa pamoja kama ilivyokuwa siku ya jana...
 
Kwa yeyote aliyekuwepo M city siku ya jana ilikuwa ni siku ya aina yake. Palijaa 'Chekechea' kutoka kila kona ya jiji hili...
Selfie zilikuwa zinapigwa kila mahali. Nilifurahi pia kumuona Mwakyembe akikatiza kwenye viunga vya M city.
Magari ya 'polisi wa Makonda' nayo yalijaa kuzunguka viunga vya M city...
INAPENDEZA sana wana Daslama wanapokutana na kufurahi kwa pamoja kama ilivyokuwa siku ya jana...
Na mwakani tamasha hili litakuwa la kitaifa, litafikia mikoa yote yenye vyuo vikuu!
 
Kulikuwa na nini hapo M City?
Makonda bash,wameiita intercollege bash walikuwepo wasanii akiwemo diamond pamoja ile 70% ya discount maduka yote ya mcity sijui kwa danube ningeenda kujibebea furniture za nguvu kwa bei ya karume....nilipita mida ya saa tano usiku,watu walijazana hawana hata usafiri wanaomba lift!
 
Aiseeee nikajua yale maflat ya inch 312 yangeuzwa kwa bei ya k/koo lakini haikuwa hvo
 
Back
Top Bottom