Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,272
- 31,393
Inawezekana hii..!!!yaani unapiga tigo-tigo unaambiwa asante kwa kutumia vodacom? hii chai imezidi hi
Embu fikiria... Unayempigia (Wa tiGo mwenzio), kadaiveti calls zake ziende kwenye namba ya VodaCom.... Unapompigia kwenye namba yake ya tiGo, kama haipatikani au kutegemeana na divert conditions alizoziseti, itaenda huko alikodaiveti (VODA in this case). Kama namba yake ya VodaCom nayo imezimwa, unategemea usikie nini? Ndo hayo maelezo ya voda kwenye namba uliyopiga ya tiGo..