Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Na kweli siku zote mtaweza kushindwa km igunga lazima mfe. Slaa jana amezimia !
Wewe ni mmoja wa wanaoifanya CCM iwe kama ilivyo.
Na kweli siku zote mtaweza kushindwa km igunga lazima mfe. Slaa jana amezimia !
Pole sana Dr Slaa mbwembwe zako na Uongo wako Igunga umetoka patupu!
Hiyo shukurani alikuwa anawapa kina nani basi? Au ndio ulikuwa ni ujumbe kuwa amekubali matokeo?Tulia ww wala usipende kukurupuka hovyo,utaratibu wa kuwashukuru wananchi upo kwa Cdm kwa hyo subiri watu wajipange kwanza kwani si uchaguzi umeisha juzi tuu? Acha papara dogo
Wewe una matatizo, jichunguze labda nape alikufanya vibaya.Pole sana Dr Slaa mbwembwe zako na Uongo wako Igunga umetoka patupu!
Pole sana Dr Slaa mbwembwe zako na Uongo wako Igunga umetoka patupu!
Maneno yake kwa watanzania kupitia facebook wall page yake leo:
· Dr. Willibrord Slaa
MYTAKE:
Dr Slaa tunawashauri chadema mbali ya kuwashukuru wana Igunga itisheni mkutano mkubwa Dar muwaeleze wafuasi wa chadema kilichotokea Igunga na kitakachofuata.Dr kumbuka tokea uchaguzi mkuu mwaka jana hamjalitikisa jiji la Dar kupitia viwanja vya jangwani.
Tunataka mkutano mkubwa Dar utakaotetemesha Magamba. Muda sio mrefu Nape amezungumza na waandishi akaropoka maneno mengi kuhusu Igunga na akasema Magamba watafanya mkutano mkubwa Dar kumtambulisha huyo mbunge wao Kafumu.
Mwanzo mzuri. Ni vizuri kujifunza ni nini kilichoinyima Chadema kura igunga. Nionavyo mimi pamoja na sababu za miaka ya nyuma ya tume isiyo huru na mengine yanayafanana kama hayo, kuna hili la Chadema kuwatumia mawakala wa kutoka nje ya Igunga. Tujifunze kwa yalipita