Asante Igunga na watanzania-Dk Slaa

Kila mtu humu anajifanya ooh tupo pamoja ooh tupo pamoja wakati wengine hata kadi za Chadema hamna.
 
Hongera Dr. Slaa, kazi nzuri sana inayoonekana kwa vitendo Wanzania tumeiona (na hata Mataifa mengine) CCM wametumia serkari yote ya sasa na awamu ya tatu pamoja na tume kuhakikisha wanachukua sio wanapewa ridhaa ya kuongoza jimbo la Igunga.

Wamemlamba viatu RA awape kampani (wametumia nguvu kama ya uchaguzi mkuu). Tusikate tamaa, kila jambo lina wakati wake, hata Nyerere alipata misukosuko wakati anatafuta uhuru ambao magamba leo wanauchezea!

Kila la kheri wapambanaji
 
Kila mtu humu anajifanya ooh tupo pamoja ooh tupo pamoja wakati wengine hata kadi za Chadema hamna.
Wanamwambia nani tupo pamoja, CCM au CHADEMA? Kwanini wamwambie wanaemwabia kuwa "tuko pamoja" na sio mwingine? Dr. Slaa wakati anazindua Tawi pale Mzumbe chuoni alikubalina na Dr. Rwaitama kuwa wanaopenda na kuikubali na hata kuipigia kura CHADEMA ni Watanzania wenye upendo na Taifa lao sio wana CDM pekee! Hivo usije kuwa na kadi ndio kigezo cha upendo kwa Taifa, japo sio mbaya kuwa na kadi.
 
Asante dr.kilichobaki kuanza kudili na vijijni huko kuelimisha watu na kufungua matawi ya chama.
 
Omr nashushauri ukapimwe akili mental clinic ya karibu kama unaishi ughaibuni. Iwapo upo Bongo basi panda basi la Shabiby uende hospitali ya vichaa inayoitwa Mirembe iliyopo mkoani Dodoma. Baada ya kupewa majibu kuwa mental faculties zako ziko timamu ndipo uandelee kutoa hoja au kuchangia humu jamvini a.k.a jamiiforums. Naomba kuwasilisha rai yangu kwako.

geniusbrain ndo kaoza kabisa ubongo..
 
Mapambano dhidi ya ujambazi wa ccm yanaendelea.tutawatoa madarakani muda si mlefu.
 
kuchney!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!damn damn damn danm politica, bora mngewachimbia hata barabara za changarawe wanaingunga wangewakumbuka milele kuliko kuwatimulia vumbi na matripple helicopiters,
 
Pole sana Dr Slaa mbwembwe zako na Uongo wako Igunga umetoka patupu!

Hujui maana ya neno patupu! Wewe si mtanzania. Wenye ccm yao wanaugulia maumivu wakiangalia data, wenzangu na mimi mnashangilia, kwenu ni bora liende. Hamjui lijalo kesho, na wala si mbali.
 
Dkt W.P.Slaa, The Man I admire Ukiacha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Edward Moringe Sokoine. I wish Dkt Ashinde Urais 2015 ili ukombozi kamili upatikane Tanzania. Tanzania Tajiri lakini inahitaji mtu very firm kwenye maamuzi kama Dkt Slaa ili ifaidi raslimali zake na wananchi wake wanufaike na kuondokana na umaskini unaochangiwa viongozi waliokosa sifa ya kuongoza. Chini ya mtu wa aina ya Dkt Slaa, Tanzania ni Nchi ya EDEN duniani.



Maneno yake kwa watanzania kupitia facebook wall page yake leo:

· Dr. Willibrord Slaa



MYTAKE:

Dr Slaa tunawashauri chadema mbali ya kuwashukuru wana Igunga itisheni mkutano mkubwa Dar muwaeleze wafuasi wa chadema kilichotokea Igunga na kitakachofuata.Dr kumbuka tokea uchaguzi mkuu mwaka jana hamjalitikisa jiji la Dar kupitia viwanja vya jangwani.

Tunataka mkutano mkubwa Dar utakaotetemesha Magamba. Muda sio mrefu Nape amezungumza na waandishi akaropoka maneno mengi kuhusu Igunga na akasema Magamba watafanya mkutano mkubwa Dar kumtambulisha huyo mbunge wao Kafumu.
 
Ukishindwa uchaguzi, ni vyema kutoa hotuba ya shukrani kabla hamjarudi Dar (Kashindye/Slaa/Mbowe).
Huwa inaitwa concession speech.
Mnarudi square one!.. Hivi watu wa Igunga wengi wao wana facebook accounts?
C'mon!, eleweni somo.
 
Ukishindwa uchaguzi, ni vyema kutoa hotuba ya shukrani kabla hamjarudi Dar (Kashindye/Slaa/Mbowe).
Huwa inaitwa concession speech.
Mnarudi square one!.. Hivi watu wa Igunga wengi wao wana facebook accounts?
C'mon!, eleweni somo.
Wameiponda CCM kuwa wameshindwa kuleta maendeleo vijijini igunga halafu anaweka ujumbe kwenye facebook wa kuwashukuru hao hao wa vijijini. Hizi ni dalili mbaya sana. Au waende kwenye ofisi ya CDM ndio kuna computer?
 
Wameiponda CCM kuwa wameshindwa kuleta maendeleo vijijini igunga halafu anaweka ujumbe kwenye facebook wa kuwashukuru hao hao wa vijijini. Hizi ni dalili mbaya sana. Au waende kwenye ofisi ya CDM ndio kuna computer?
Tulia ww wala usipende kukurupuka hovyo,utaratibu wa kuwashukuru wananchi upo kwa Cdm kwa hyo subiri watu wajipange kwanza kwani si uchaguzi umeisha juzi tuu? Acha papara dogo
 
Afadhali leo umezinduka aisee jana hali ilikuwa mbaya mpaka ukazimia ! jikaze kiume hiyo ndio ccm na hukutegemea jamaa wanaweza kuwafanya vibaya kiasi hicho , mie nilijua tu huwezi kupambana na ccm wao ni jeshi kubwa na lenye rasilimali nyingi . Sasa inakuwaje mmebomoa benki kiasi cha kwamba tshs 1.345bn zimetumika igunga na hamkuapata kitu na chama ndio muflisi sasa

1. Ukifanya analyisis kisomi utajua kati ya CCM na CDM ni nani asherehekee kwa kugain na nani asikitike kwa kuloose.

2. Kampeni za igunga zimeimarisha CDM sio Igunga tu bali Tz nzima. Ungefuatilia discussions, na hamasa za watanzania ungejua nani anabomoka na nani anajengeka kati ya CDM na CCM countrywide.

Kudo! CDM, kudo! makamanda wetu Dr wa ukweli, Lissu, Mbowe, Zitto na wote! you have gained, and it was worth spending the money you have spent!!!
 
Back
Top Bottom