Maneno yake kwa watanzania kupitia facebook wall page yake leo:
· Dr. Willibrord Slaa
MYTAKE:
Dr Slaa tunawashauri chadema mbali ya kuwashukuru wana Igunga itisheni mkutano mkubwa Dar muwaeleze wafuasi wa chadema kilichotokea Igunga na kitakachofuata.Dr kumbuka tokea uchaguzi mkuu mwaka jana hamjalitikisa jiji la Dar kupitia viwanja vya jangwani.
Tunataka mkutano mkubwa Dar utakaotetemesha Magamba. Muda sio mrefu Nape amezungumza na waandishi akaropoka maneno mengi kuhusu Igunga na akasema Magamba watafanya mkutano mkubwa Dar kumtambulisha huyo mbunge wao Kafumu.
· Dr. Willibrord Slaa
Napenda kutoa shukrani za pekee kwa wana IGUNGA wote kwa ushirikiano wao,na kwa kutupigia kura nyingi. KURA ZENU HAZIJAPOTEA ZIMETOA MWANGA KWA WATANZANIA.Tumalize kazi ya kusambaza ujumbe kwa vijiji vyote TANZANIA. Umoja wetu ndio Msingi wetu.
MYTAKE:
Dr Slaa tunawashauri chadema mbali ya kuwashukuru wana Igunga itisheni mkutano mkubwa Dar muwaeleze wafuasi wa chadema kilichotokea Igunga na kitakachofuata.Dr kumbuka tokea uchaguzi mkuu mwaka jana hamjalitikisa jiji la Dar kupitia viwanja vya jangwani.
Tunataka mkutano mkubwa Dar utakaotetemesha Magamba. Muda sio mrefu Nape amezungumza na waandishi akaropoka maneno mengi kuhusu Igunga na akasema Magamba watafanya mkutano mkubwa Dar kumtambulisha huyo mbunge wao Kafumu.