TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Waungwana naombeni ufafanuzi wenu juu ya tetesi/hoja kuwa kuchanganya asali pamoja na limao kwa wakati mmoja inaweza kupelekea kifo kwa mtumiaji kwa kigezo kuwa Mchanganyiko huo hugeuka kuwa sumu, Hii habari niliisikia zamani nikiwa Bwana Mdogo na mpaka leo nimekuwa, sijaweza kuhakikisha hilo kwa kuhofia kufa kama ni kweli.
Wanajamii nitashukuru iwapo nitapatiwa ufafanuzi wa kitaalamu juu ya ukweli wa hoja hiyo, na kama siyo kweli, basi ni faida gani zinapatikana kwa kuchanganya asali na limao?
Wanajamii nitashukuru iwapo nitapatiwa ufafanuzi wa kitaalamu juu ya ukweli wa hoja hiyo, na kama siyo kweli, basi ni faida gani zinapatikana kwa kuchanganya asali na limao?