Asali inavyotia mshawasha kwenye foreplay

barafuyamoto

JF-Expert Member
Jul 26, 2014
32,331
29,577
Habari zenu,

Katika mapenzi, kuna kuchokana sababu ya kuonana mara kwa mara na pia hata kuingiliana watu huchokana, hufikia mahali THEY HAVE TO GO THROUGH THE MOTIONS.

Hivyo tuwe wabunifu kufanya mambo yasiwe ya kuchosha na yawe mapya kila siku.
Hivyo kuongeza mahaba kabla ya foreplay, tumia asali.

Nendeni mkaoge wote, take your time! Kisha futaneni na taulo. Mkifika kitandani, baada ya kiss and hugging kadhaa, mmiminie asali mwenza wako akiwa amelala mtupu. Mimina popote katika mwili wake, kuanzia katika lips shuka chini unapita karibu na kwapa pande zote kisha mimina kupita katika chuchu unashuka hadi kitovuni mapajani, IKULU hadi miguuni kwenye toes.

Baada ya hapo anza lamba hiyo asali taaaaratibu, tumia hata dk 30-40 kutoka miguuni ukipanda juu!! Mwanamke hapo lazima atayeyuka by the time unamaliza kulamba hiyo asali. Wanawake pia wanaweza paka kwa wenza wao wa kiume na kiulamba hiyo asali.

I did it and it blew her mind away, so give it a try if you can!

NOTE: Mambo haya ni vizuri kufanya kwa mkeo au mwenza wako wa kuishi nae, sio kwa "vicheche".
 
Mmh. Mapenzi ya kulambana lambana tena. Duuh.

Ila mapenzi ni kitu kingine bana unaweza andaa hiyo asali ila ukafika muda wa ile shughuli hata nafasi wa kumwagiana hiyo asali isipatikane kwa sababu kila mtu ana mhemuko wake na kuna mwingine mpaka uanze kumtuliza eti umwagie asali mmh.

Hapo unaweza kuta kashahama kabisa yaani hayupooo.
 
Mmh. Mapenzi ya kulambana lambana tena. Duuh.

Ila mapenzi ni kitu kingine bana unaweza andaa hiyo asali ila ukafika muda wa ile shughuli hata nafasi wa kumwagiana hiyo asali isipatikane kwa sababu kila mtu ana mhemuko wake na kuna mwingine mpaka uanze kumtuliza eti umwagie asali mmh.

Hapo unaweza kuta kashahama kabisa yaani hayupooo.
Hupendi kulambwa
 
Mmh. Mapenzi ya kulambana lambana tena. Duuh.

Ila mapenzi ni kitu kingine bana unaweza andaa hiyo asali ila ukafika muda wa ile shughuli hata nafasi wa kumwagiana hiyo asali isipatikane kwa sababu kila mtu ana mhemuko wake na kuna mwingine mpaka uanze kumtuliza eti umwagie asali mmh.

Hapo unaweza kuta kashahama kabisa yaani hayupooo.
I LOVE YOU
 
Hii kwa mwanaume ni kero,ninachojua kwa mwanaume hahitaji kusisimuliwa zaidi ya kunakofanywa kwenye tendo.Kwa mwanamke sawa,huenda ikafanya kazi
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom