Bandabichi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 230
- 42
Heshima mbele wakuu.
Nina rafiki yangu (ke) kila akila asali tumbo anadai linakwangua au linamuuma.
Hii mambo inasababishwa na nini?
Ushauri wa kitaalamu.
Nina rafiki yangu (ke) kila akila asali tumbo anadai linakwangua au linamuuma.
Hii mambo inasababishwa na nini?
Ushauri wa kitaalamu.