Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana, je we ni wa pande ipi. Magwanda au chama tawala
Yupo CUF huyo, unasemaje? Karibu sana Sesemi.Karibu sana, je we ni wa pande ipi. Magwanda au chama tawala
,wewe kilichokutisha ni hiyo salaam,maana mnaitakidi hicho CHAMA CHA DEMONSTRATION,hakikubaliki,kwanini mtu umuulize chama,halafu iweje,kuna ahadithi moja za watu wa kale,kuna watu walikuwa wanapita makaburini,mmoja wao akaona kaburi moja limejengewa vizuri akalisifia upeo wa kusia,ila moa ya watu ktk lile kundi akamwambia lakini lile ndilo kaburi la yule aliye kuwa mgomvi wako,basi yule jamaa akamalizia kwa kusema ndio maana limepasuka upande mmoja na lina chongo kama alivyokuwa,tuache kukithirisha kupenda/kuchukia maana ukimpenda mtu kupindukia itajafika mahala ukashindwa kumkosoa kama atakosea na tuache kumchukia mtu kupita kiasi kwani tujisikia aibu kumpongeza,haya ni mafundisho sahihi na anayetaka ayachukue asiyeyataka na ayawache,la muhima,nimefikisha na muumba anashuhudia katka hiliKaribu sana, je we ni wa pande ipi. Magwanda au chama tawala
naam maana ya assalaam alayka kwa mtu mmoja au assalaam alaykum kwa wengi maana yake amani ya Allah(Mola) iwe juu ya huyo aliyepewa hiyo salaam,sasa kwa kuitikia km uivyokia Mkuu,maana yake nayeye amani ya Mkristo iwe kwake,sasa bora ungemjibu nawe pia au amani ya mungu nawe ama kama inakwaza basi ungemkaribisha tu,sisi sote watanzania tuache kuonesha ukerereAleykum Mkristo,karibu sana mkuu humu ndani
hakika mungu anatupenda soote na ndo maana ka 2 connect pa 1 ili kubadilishana mawazo,kugawana yale yalioko vichwani vyetu 2nayo yafkilia.long live jamii forums.