Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,465
- 70,198
Kwasababu sio knock out games sio mbaya ni makundi hata tusipomrudishia yeye tunataka tu points tatu tatu saivi hata kwa goli moko mokoHAMRUDISHI GOLI 5 ZILE
Kwasababu sio knock out games sio mbaya ni makundi hata tusipomrudishia yeye tunataka tu points tatu tatu saivi hata kwa goli moko mokoHAMRUDISHI GOLI 5 ZILE
poleni sana lakiniKwasababu sio knock out games sio mbaya ni makundi hata tusipomrudishia yeye tunataka tu points tatu tatu saivi hata kwa goli moko moko
Haha kawaida bablai, mbona sisi tuliwapiga mkono hadi kipa anafunga bana.poleni sana lakini
TUNAZUNGUMZIA PRESENT SIO PAST BROHaha kawaida bablai, mbona sisi tuliwapiga mkono hadi kipa anafunga bana.
Haha asa bablai kama ndio hivyo mbona hata hii ya simba na vita ni past tayariTUNAZUNGUMZIA PRESENT SIO PAST BRO
Kawaida sana asee, team zinapigwa hadi nane huko na ni team za kueleweka ulaya huko sembuse Simba ya kariakooDuuh! Mkuu yaani ulitabiri kwa kuwapa moyo aiseee mwisho wa siku wakapigwa Mkono.
Mngewafunga nyie ungeyasema haya au unajifariji tu?Kawaida sana asee, team zinapigwa hadi nane huko na ni team za kueleweka ulaya huko sembuse Simba ya kariakoo
Mi yanga mkuupoleni sana simba
Mume kafanywa kinyume na maumbile na anarudi na mimbaYanga subirieni mume kaondoka kakuachia nyumba angalia watoto
baba anataka heshima Afrika
bikira unatolewa na wasukuma watu hata hawajatahiriwaMume kafanywa kinyume na maumbile na anarudi na mimba
ahaa kumbe mwanajangwani mwenzanguMi yanga mkuu
USIJIFARIJI HAHAHAHaha asa bablai kama ndio hivyo mbona hata hii ya simba na vita ni past tayari
Ha ha ha haYanga subirieni mume kaondoka kakuachia nyumba angalia watoto
baba anataka heshima Afrika