ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Na tena naona nyeto ni kama pushapu,hua mpaka wife anasema huchoki kunimbato,Mana inafanya humwagi haraka,ukipata mechi mpaka maku ya mwanamke inapata moto,samahani kwa uandishi ila ni ujumbe ufike
 
Huu uzi watu wanajadili ki-layman sana... Badala ya kujadili kwa mapana na marefu ili ufaidishe jamii iliyomo humu. Na yote imechangiwa na mleta uzi kuugeuza kuwa wa "kimipasho" sana...

Kwa sisi watu wa medical field mngeweza ku-benefit masuala juu ya uhalisia... Mjue watu humu JF, tuna-type, na tuna-enjoy maisha humu, lakini tunadanganyana sana... Wengi tunajifanya tuna maisha mazuri, kama hivi tunajifanya hatuumwi(as if wanaoumwa, huo ugonjwa waliuleta wao, wakati wao wenyewe wameambukizwa), na mengine kama hayo. Tunaishi maisha ya mtandaoni ambayo si uhalisia wetu.

Sasa na wao wapo humu na wamekuwa "carried away" na mkondo mbaya wa mjadala.. Wakati wana uelewa zaidi ya mtunga uzi.

Kifupi napinga na ni uongo mkubwa kuwa ARV zina shida katika matumizi. Labda mtoa uzi arudi aseme, hiyo taarifa aliipata wapi, kwa nani, na lini.
Kumeza dawa za kawaida tu dozi ya mwezi mmoja tu huwa ni mtihani,je lifetime dose si hatari hiyo
 
Ukimwi ni ngumu sana kuupata na ni rahisi sana kuupata kazio kwenye hili eneo mpaka unapata ukimwi ni umeutafuta kwa tochi punguzeni ujuaji kwenye bed ukimwaga inatosha akikudharau unapungukiwa nini?
All I know kila mmoja wetu ni mgonjwa mtarajiwa. Tupo kwenye risk sana haswa tuliooa. Maana we unaweza kuwa umetulia unajitunza mwenzio kumbe anachepuka na Mgonjwa!
 
Huu uzi watu wanajadili ki-layman sana... Badala ya kujadili kwa mapana na marefu ili ufaidishe jamii iliyomo humu. Na yote imechangiwa na mleta uzi kuugeuza kuwa wa "kimipasho" sana...

Kwa sisi watu wa medical field mngeweza ku-benefit masuala juu ya uhalisia... Mjue watu humu JF, tuna-type, na tuna-enjoy maisha humu, lakini tunadanganyana sana... Wengi tunajifanya tuna maisha mazuri, kama hivi tunajifanya hatuumwi(as if wanaoumwa, huo ugonjwa waliuleta wao, wakati wao wenyewe wameambukizwa), na mengine kama hayo. Tunaishi maisha ya mtandaoni ambayo si uhalisia wetu.

Sasa na wao wapo humu na wamekuwa "carried away" na mkondo mbaya wa mjadala.. Wakati wana uelewa zaidi ya mtunga uzi.

Kifupi napinga na ni uongo mkubwa kuwa ARV zina shida katika matumizi. Labda mtoa uzi arudi aseme, hiyo taarifa aliipata wapi, kwa nani, na lini.
Wewe umewahi kutumia ARVs? Labda tuanzie hapo utupe feedback
 
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.
UPDATE
Kama umeoa Bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
Piga punyeto
 
Back
Top Bottom