Ata mimi huwa nawaambia vijana wenzangu haya haya maneno.Ukimwi ni ngumu sana kuupata na ni rahisi sana kuupata kazio kwenye hili eneo mpaka unapata ukimwi ni umeutafuta kwa tochi punguzeni ujuaji kwenye bed ukimwaga inatosha akikudharau unapungukiwa nini?
Kuungua au kuugua?Kuugua sio kufa!
Kuna wanaokufa na ajali na hata hawajawahi kuugua,jipe moyo mkuu!
Soma tenaKuungua au kuugua?
Umekaa katikati halafu tumeingia uchumi wa kati. Lakini siku hizi kama umezoeleka vile, uoga umepungua TV ni live bila chengaUgonjwa umekaa pabaya sana....
Usiombe yakukute tu...Mie nilishasema ikitokea siku nimeukwaa sintokuja kutumia hizo njugu,
Nabadiri mtindo wa maisha na kula diet inayoeleweka pia naacha ngono basi maisha yatasonga tu
Tamu Sana tatizo rangi yakeVipi hizo ARV chungu au ?
Hapo shukuru inaonekana K ya huyo mother ilikuwa swimming pool kwako.Mimi nikiwa kavulana nilikuwa na jimama langu linanilea, kuna siku lilisafiri kibiashara, likaniachia nyumba niwe muangalizi,
Sijui kitu gani kilifanya nipekue pekue kule chumbani, bahati mbaya/ nzuri likasahau kufunga dro ya kabati.
Si nikakumbana na mikadi ya mahudhurio yameandikwa CTC
Yalikuwa ya kuchukulia dawa. Nilichanganyikiwa ,asubhuhi na mapema nikayabeba makadi hadi hiyo hospitali yenye hiyo kriniki,ilikuwa hospitali ya wilaya.
Wakanijibu huyu mtu anahudumiwa hapa miaka mingi tu, ni nani yako? Nikawambia ni mpenzi wangu,wakashangaa, wewe kijana limama lote lile la nini? Itabidi tukupime mara tatu kila baada ya miezi mitatu.
Lakini kwakanionya sio vizuri kupekuwa na kubeba vitu binafsi vya watu bila ridhaa yao.
Nilipima majibu yakawa safi ,sikupata maambukizi.
Sasa bhana wakati natoka nimeshika makadi yale nakuta watu kama 100+, wana kama mkutano hivi,waliponiona na zile kadi wamama wakajishika kichwa kwa mshangao.
Nahisi walidhani ni mtumiaji wa yale madawa nakipindi hiko nilikuwa mvulana mdogo.
UKIMWI upo ,tena watu wengi mitaani wanao.
Jinsi alivyorudi na kumpa taarifa ,na jinsi mama alivyolipokea ile taarifa,hiyo ni kesi ingine,pale ndio nilijua uchungu wa mwana aujuae mzazi
Huyu mtoa uzi inaonekana hayupo wazi ameandika kimasihara masihara tu.Mkuu kama hutojali..
Kabla ya kugundulika una maambukizi
Je ni dalili gan za awali ulizokua nazo kiasi ukaamua kwenda kupima HIV?
Au ulikua poa tu sema ukaamua kuchek afya yako???
Kama anao basi itakuwa ni Salma t*ako wa Sinza pale ndio kamuambukiza, huyo kaua wengi sana nayeye ni mtumiaji wa ARV kwa miaka mingiii.Huyu bwana mwaka fulani sikumbuki exactly hasa ilikuwa mwaka gani alipandisha uzi wake hapa akizitaja corner zote Dar wanakojiuza malaya na akaenda mbali zaidi kuwataja baadhi yao kwa majina na # zao za simu akawa ameweka kwa wale watakotaka kuwatafuta.
Tuishi kwa tahadhari tukizithamini afya zetu.
Wale hawakumalizi,unajilipua mwenyeweYale matakataka ya mori na ambiance ndio yamekumalizaa maninaa....
Ule uzi sijui uko wap
Marriage is the only war where one sleep with the enemyHa ha ha. Bora hao wa Mori hakubali bila ndomu. Wenye Ngwengwe wapo majumbani mwenu wanatoa ndogo kwa siri mpaka wanachubuka
Duh tako limeponza wanaume wengiKama anao basi itakuwa ni Salma t*ako wa Sinza pale ndio kamuambukiza, huyo kaua wengi sana nayeye ni mtumiaji wa ARV kwa miaka mingiii.