ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Una tatizo la Pumu? Ili usiupate UKIMWI ( Dally Kimoko ) unatakiwa uwe na Mambo mawili kwa wakati Mmoja yaani uwe na Pumu ile ya Kurithi na Damu ya Group O+ ila kama una Kimojawapo tu tafadhali Acha Umalaya ( Uhuni ) na ukienda ' Kutiana ' tumia Condoms usije ' Kuukwaa ' huo Ugonjwa, Ukafa na JamiiForums hadi Tanzania ikakukosa.

Msiniige Kizembe mtakufa shauri zenu.
ACHENI KUPEANA MATANGO PORI.

DAMU O+ HAINA CHOCHOTE JUU YA HIV ....

YAAN UKIZENGUA, UNAPATA NGOMA KAMA KAWAIDA.


KWAUFUPI DUNIANI WATU WENYE O+ WANACHUKUA 70% YA IDADI YOTE YA WATU.
 
Nimewahi kutumia PEP siku 30 na zenyewe zina maluweluwe kama hizo ARV sina hamu, yaani mtihani. Nilibanduaga kavu kavu malaya aliyekubuhu bila kujua. Sema nilimfaidi sana maana alikuwa fundi kweli kweli.
Daaa JF unaweza uonekane wewe una roho ya kifashisti kuchekelea matatizo ya wenzako, kumbe unacheka jinsi tatizo lilivyoelezewa...

Kuna shughuli nyingne inaitwa PEP 72HRS, ile unaweza ukainywa, baada ya masaa kadhaa unatafuta dawa uitapike,
PEP ndio ARVs zenyewe hizo.
 
Kwa Sisi wenye Pumu za Kurithi na Damu zetu ni Group O+ huu Uzi na Ushauri wako wala hautuhusu kwani Sisi ' Kitabibu ' ni kwamba hatuwezi kamwe Kuambukizwa huo UKIMWI na Binafsi nimeshalifanyia Majaribio mwaka 2008 tena mwaka 2011 na mwaka 2014 kwa Makusudi na kujua kabisa ' ninaowabandua ' wameshaathirika ( tena niliuza Mechi namaanisha sikutumia kabisa Condom ) ila sijaipata na kupima Hospitali zote Kubwa zenye Wataalam na Madaktari Bingwa sijakutwa nao.

Sasa msio na Pumu za Kurithi na Damu Group O+ niigeni GENTAMYCINE muanze Kulipiga vizuri Gitaa la Solo la Dally Kimoko na ' mpukutike ' mkayaanze Maisha yenu mapya Udongoni hapa Mjini au huko Vijijini Kwenu ( Mwenu )
Jamaa kumbuka kuna kuhesabiwa mema na mabaya siku za mwisho wa dunia. Hapa kwa kauli yako hii kuna watu wataenda kujaribu ulichosema . Naomba kama unaimani thabiti ya kimungu ndani yako tafadhali ikane hii kauli yako ili kuziponya roho nyingi za watu
 
"Kujiuza" its just a term, issue ni matendo yako. Mahusiano yapoje na hao ulionao kwenye Mahusiano yako au huyo ulienae kwenye Mahusiano yako Mahusiano yake yapoje? Ukimwi ni mgumu sana kupata na ni rahisi sana kuupata vilevile. Kikubwa ni kumuomba Allah tu.
Ukimwi ni ngumu sana kuupata na ni rahisi sana kuupata kazio kwenye hili eneo mpaka unapata ukimwi ni umeutafuta kwa tochi punguzeni ujuaji kwenye bed ukimwaga inatosha akikudharau unapungukiwa nini?
 
Hizi IDs zinazoshuhudia maajabu ya ARVs, mara sijui ARVs za siku hizi zina uchachu, mara maluwe luwe, Kuna watu mnawaumiza vichwa mjue, chain.

All in all ishini kwa matumaini.
“UKIMWI upo na unaua”
 
ACHENI KUPEANA MATANGO PORI.

DAMU O+ HAINA CHOCHOTE JUU YA HIV ....

YAAN UKIZENGUA, UNAPATA NGOMA KAMA KAWAIDA.


KWAUFUPI DUNIANI WATU WENYE O+ WANACHUKUA 70% YA IDADI YOTE YA WATU.
Kuna sehemu yoyote ile nimekulazimisha unikubalie? Unateseka nini na Sisi wenye Damu ya O+? Nitafutie Demu mwenye UKIMWI kisha ' nimbandue ' kavu kavu Bao zangu za ' Hat trick ' kisha baada ya Miezi Mitatu Kanipime kokote ili Uamini kuwa Sisi ' hatuathiriki ' ng'o.
 
Kuna hosp nilikuaapo wakat nipo Internship , Kwa siku wagonjwa wapya wa huu ugonjwa walikua wakigundulika 20--30 kila siku.


Kwa CTC sasa ndo usiseme


Muhim watu watumie ndom, nahata ukigundulika Nivema Uanze dawa ,dawa zinaongeza maisha marefu na kupunguza usambazaji.
Noma sana
 
Jamaa kumbuka kuna kuhesabiwa mema na mabaya siku za mwisho wa dunia. Hapa kwa kauli yako hii kuna watu wataenda kujaribu ulichosema . Naomba kama unaimani thabiti ya kimungu ndani yako tafadhali ikane hii kauli yako ili kuziponya roho nyingi za watu
Nawatafutia Biashara ( Soko ) Wauza Majeneza Manzese Argentina na Tanzania nzima.
 
Kuna sehemu yoyote ile nimekulazimisha unikubalie? Unateseka nini na Sisi wenye Damu ya O+? Nitafutie Demu mwenye UKIMWI kisha ' nimbandue ' kavu kavu Bao zangu za ' Hat trick ' kisha baada ya Miezi Mitatu Kanipime kokote ili Uamini kuwa Sisi ' hatuathiriki ' ng'o.
Mkuu....

makundi ya damu ..unazungumzia RBC..seli nyekundu za damu...ambazo kazi yake ni kusafirisha oksijeni mwilin.sasa hizi RBC kwa ukuta wake wa nje zimebeba antigens ( chembechembe zinazotumika kuelezea aina ya kundi la damu la mtu mmoja hadi mwengine n.k)


HIV hana mpango na hizo RBC


Yeye HIV anacheza na WBC ,seli nyeupe za damu ambazo kazi yake ni Kinga ya mwili.


Ukisikia Kinga yake imeshuka baada ya HIV... ujue HIV kafanikiwa Kuua Seli hizi nyeupe WBC aina ya T-Helper cells ( CD4 cells ) .



Kwahiyo mambo ya kudanganyana sijui O+ sijui nn..hayapooo.


Ngoma iko palepale.
 
Kuna hosp nilikuaapo wakat nipo Internship , Kwa siku wagonjwa wapya wa huu ugonjwa walikua wakigundulika 20--30 kila siku.


Kwa CTC sasa ndo usiseme


Muhim watu watumie ndom, nahata ukigundulika Nivema Uanze dawa ,dawa zinaongeza maisha marefu na kupunguza usambazaji.
Mimi nikiwa kavulana nilikuwa na jimama langu linanilea, kuna siku lilisafiri kibiashara, likaniachia nyumba niwe muangalizi,

Sijui kitu gani kilifanya nipekue pekue kule chumbani, bahati mbaya/ nzuri likasahau kufunga dro ya kabati.

Si nikakumbana na mikadi ya mahudhurio yameandikwa CTC

Yalikuwa ya kuchukulia dawa. Nilichanganyikiwa ,asubhuhi na mapema nikayabeba makadi hadi hiyo hospitali yenye hiyo kriniki,ilikuwa hospitali ya wilaya.

Wakanijibu huyu mtu anahudumiwa hapa miaka mingi tu, ni nani yako? Nikawambia ni mpenzi wangu,wakashangaa, wewe kijana limama lote lile la nini? Itabidi tukupime mara tatu kila baada ya miezi mitatu.

Lakini kwakanionya sio vizuri kupekuwa na kubeba vitu binafsi vya watu bila ridhaa yao.
Nilipima majibu yakawa safi ,sikupata maambukizi.
Sasa bhana wakati natoka nimeshika makadi yale nakuta watu kama 100+, wana kama mkutano hivi,waliponiona na zile kadi wamama wakajishika kichwa kwa mshangao.
Nahisi walidhani ni mtumiaji wa yale madawa nakipindi hiko nilikuwa mvulana mdogo.
UKIMWI upo ,tena watu wengi mitaani wanao.
Jinsi alivyorudi na kumpa taarifa ,na jinsi mama alivyolipokea ile taarifa,hiyo ni kesi ingine,pale ndio nilijua uchungu wa mwana aujuae mzazi
 
Mimi nikiwa kavulana nilikuwa na jimama langu linanilea, kuna siku lilisafiri kibiashara, likaniachia nyumba niwe muangalizi,

Sijui kitu gani kilifanya nipekue pekue kule chumbani, bahati mbaya/ nzuri likasahau kufunga dro ya kabati.

Si nikakumbana na mikadi ya mahudhurio yameandikwa CTC

Yalikuwa ya kuchukulia dawa. Nilichanganyikiwa ,asubhuhi na mapema nikayabeba makadi hadi hiyo hospitali yenye hiyo kriniki,ilikuwa hospitali ya wilaya.

Wakanijibu huyu mtu anahudumiwa hapa miaka mingi tu, ni nani yako? Nikawambia ni mpenzi wangu,wakashangaa, wewe kijana limama lote lile la nini? Itabidi tukupime mara tatu kila baada ya miezi mitatu.

Lakini kwakanionya sio vizuri kupekuwa na kubeba vitu binafsi vya watu bila ridhaa yao.
Nilipima majibu yakawa safi ,sikupata maambukizi.
Sasa bhana wakati natoka nimeshika makadi yale nakuta watu kama 100+, wana kama mkutano hivi,waliponiona na zile kadi wamama wakajishika kichwa kwa mshangao.
Nahisi walidhani ni mtumiaji wa yale madawa nakipindi hiko nilikuwa mvulana mdogo.
UKIMWI upo ,tena watu wengi mitaani wanao.
Jinsi alivyorudi na kumpa taarifa ,na jinsi mama alivyolipokea ile taarifa,hiyo ni kesi ingine,pale ndio nilijua uchungu wa mwana aujuae mzazi
 
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.
UPDATE
Kama umeoa Bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
Aisee polee
 
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.
UPDATE
Kama umeoa Bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
Mh mbona naskia Kuna muda wanakupumzisha wanaangalia km Kinga yako ya mwili iko juu Sana
Ikianza kushuka ndio wanakupa tena
 
Kuna sehemu yoyote ile nimekulazimisha unikubalie? Unateseka nini na Sisi wenye Damu ya O+? Nitafutie Demu mwenye UKIMWI kisha ' nimbandue ' kavu kavu Bao zangu za ' Hat trick ' kisha baada ya Miezi Mitatu Kanipime kokote ili Uamini kuwa Sisi ' hatuathiriki ' ng'o.
Sio kweli...Ukimwi unaupata vizuri tu ukiingia kumi na nane zake.

Hiyo kitu ya Group la Damu haipo hiyo....Pia ujue Hilo group "O" ndo group lenye watu wengi Duniani.

In short hamna kitu kama hicho.

Stay safe... Play safe...Ukimwi upo.
 
Huu uzi watu wanajadili ki-layman sana... Badala ya kujadili kwa mapana na marefu ili ufaidishe jamii iliyomo humu. Na yote imechangiwa na mleta uzi kuugeuza kuwa wa "kimipasho" sana...

Kwa sisi watu wa medical field mngeweza ku-benefit masuala juu ya uhalisia... Mjue watu humu JF, tuna-type, na tuna-enjoy maisha humu, lakini tunadanganyana sana... Wengi tunajifanya tuna maisha mazuri, kama hivi tunajifanya hatuumwi(as if wanaoumwa, huo ugonjwa waliuleta wao, wakati wao wenyewe wameambukizwa), na mengine kama hayo. Tunaishi maisha ya mtandaoni ambayo si uhalisia wetu.

Sasa na wao wapo humu na wamekuwa "carried away" na mkondo mbaya wa mjadala.. Wakati wana uelewa zaidi ya mtunga uzi.

Kifupi napinga na ni uongo mkubwa kuwa ARV zina shida katika matumizi. Labda mtoa uzi arudi aseme, hiyo taarifa aliipata wapi, kwa nani, na lini.
 
Back
Top Bottom