cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,595
- 137,335
CTC ndo nini mkuu?Kuna hosp nilikuaapo wakat nipo Internship , Kwa siku wagonjwa wapya wa huu ugonjwa walikua wakigundulika 20--30 kila siku.
Kwa CTC sasa ndo usiseme
Muhim watu watumie ndom, na hata ukigundulika Ni vema Uanze dawa, dawa zinaongeza maisha marefu na kupunguza usambazaji.
Pole mkuuWazazi wng wote waliondoka kwa ugonjwa huu na kuniacha mdogo sn mi na dada zangu..upande wa mama yaani ujombani walizaliwa watoto kumi wakike sita wakiume wanne ila mpaka muda huu wamebaki wajomba tu,hao wakike akiwemo mama waliondoka na ugonjwa huu jumlisha waume zao,tena ule ukimwi wa zamani..huu ugonjwa huwa nkiusikia nakosa raha kabisa nilishaathiriwa kisaikolojia..MUNGU atuepushe jamani.
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu. I tell you!
UPDATE
Kama umeoa bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
**Wake zetu wagalatia si unajua vichwa vibovu!
CTC ni sehemu maalumu ya hospitali kwa ajili ya wagonjwa wa HIV/TBCTC ndo nini mkuu?
We boya. Unafikiri zile kama panadol?Tatizo lako humezi vizuri za mchana unameza usiku na za usiku unameza mchana ndio shida