Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Jukwaa lenu na uko huku aiseeKule jukwaa letu hakuna kumention watu zaidi ya hoja yako ndiyo itayovutia watu.
Jukwaa lenu na uko huku aiseeKule jukwaa letu hakuna kumention watu zaidi ya hoja yako ndiyo itayovutia watu.
hivi umesahu na windmills of the gods?? lol...........
Babu ODM siku nilivyoianza hiyo novel hata chooni nilikwenda nayo na sikuiweka chini mpaka nilipoimaliza..Hata kula nilikuwa nagombana na Nyamvula wangu, ananiuliza hivi siku hizi unashiba vitabu......
Nimekupa LIKE hiyo umeiona kaka..??Karibu tena jukwaani,ila nina shaka uliposema wamekupromote kuwa modereta,sioni status yako ikibadilika hapo juu.Ila kama ni kweli wamekupromote nitasikitika sana sababu najua wazi kuwa nitakuwa nimepungukiwa majeshi ya kumshambulia yule mwanasheria feki anayejiita Ruttashobolwa na nitasikitika zaidi kwa sababu nina mpango wa kumchukua mke wa yule jamaa anayejiita bepari kumbe ni muuza ndizi pale urafiki sijui wanamuita Bishanga sijui nani,anyway mkuu Arushaone karibu tena tuendeleze mashambulizi...:majani7::majani7::majani7:.............
lol! kumbe wewe ni mpenzi wa novel enh! haya sema unataka niwe nakuzima za nani? naanza MARIO PUZO, ROBERT LUDLUM, JOHN GRASHAM,SIDNEY SHELDON, JAMES HADLEY CHASE,, ROBIN COOK, NELSON DEMILLE, BELVA PLAIN and more more
Kule jukwaa letu hakuna kumention watu zaidi ya hoja yako ndiyo itayovutia watu.
Naomba Uniazime mimi vya huyo na vya BERN CASON
Dah! amazing....
Mkuu hii makitu ni balaa. Sijawahi ona asee.
Hako kaugonjwa kalikokupata kaliwahi nikumba wakati nasoma makitu ya James H Chase "Vulture is a patient bird". Hii dunia ina watunzi mazee!
Heheheheh........ A coffin from Hong Kong, wakati huo King'asti bado anajojoa kitandani.Jhc kiboko ilikuwa ,the guilty are always afraid, enzi hizo bila kusoma 'chase' we sio wa ung'eng'e,dah nakumbuka raizon ,max na bugallow,chezeiya bishanga enzi zake za ujana,wakati huo nacheza na Kongosho mchezo wa 'baba na mama'...dadadadeki.