Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Mahakama za bongo saa nyingine sio nguvu ya sheria. Ni nguvu ya mkuu wa kayaMahakamani ni nguvu ya sheria sio nguvu ya umma usichanganye mambo usidhani mkijazana umati mahakamani ndio nguvu ya umma ya kumtisha jaji aamue mnavyotaka.