Ndo muache hayo mamboMie sio mzinifuuee mjifunze nyie mnaopenda wanawake wengi wengi
Mkuu ukichunguza hiyo picha kwa makini jamaa kama walimfunga mikono, na kuna uwezekano waliwazimisha kwanza then wakawachoma. Hakika huu ni ukatili Mungu awalaze mahala wanapostahili.Au wllafumaniwa kumdhibiti uyo jamaa yaan napata maswali mengi kichwani yani uyo mwanaume katulia kabisa kachomwa yani vichwa viwili vimeshindwa kujinasua kweli???
Muache tamaaa na usaliti tunabeba zege na kufanya kazi ngumu ili mpendeze na kuwajali then mnakuja kuchepuka unasahau wema wote haya ndio malipo yake.Mungu awalaze mahali panapostahiliHapana kwa kweli hakuna haki ya kuumiza binadam mwenzako hv ,,,nimeumia sana
Na ukome kuchepuka!Hapana kwa kweli hakuna haki ya kuumiza binadam mwenzako hv ,,,nimeumia sana
Omba sana Mungu wako akuepushie kadhia hiyo. Mapenzi ndio ugonjwa pekee unaoua kwa haraka na hautibiki. Mke anaumiza ukimfumaniaDada zetu hawariziki bana, tamaa mbele mauti nyuma.
Ila sijachoma mtu mpaka ageuke majivu kisa mwanamke hata angekuwa mke wangu.
Jamaa wala hana shida, amejitoa mhanga wala haogopi murder case!Kama hii ni kweli Mkuu jamaa si kajitafutia murder case?
Muache nyie maan ndo mnaoongoza kwa usalitNdo muache hayo mambo
mkuu usiku mwemaAcha kumzungumzia yule dume suruali bhna
Nawe pia mwaya. Ulele unonomkuu usiku mwema
Shangazi ufakiri ni nini?Kweli zinaa inaleta ufakiri daaa
Mkuu punguza ukali wa maneno, wengine ni faniItoe funzo kwa wachepukaji na wachepukwaji
Ukiniambia tunatofautiana kwenye huo ugonjwa wa kupenda nitakuelewa lakini uniambie naweza kufikia ujinga wa kiwango cha juu hivi sii kweli.Omba sana Mungu wako akuepushie kadhia hiyo. Mapenzi ndio ugonjwa pekee unaoua kwa haraka na hautibiki. Mke anaumiza ukimfumania
Wote wana dhambi mkuu. Mzinzi ana dhambi yake na muuaji ana dhambi yake naye mshahara wake atalipwa mkuu.Umechemka, sasa hapo nani ana dhambi kati ya aliyeua na aliyeuwawa?
Acha kujitetea ujue Mungu anakuonaMuache nyie maan ndo mnaoongoza kwa usalit