S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,563
- 32,529
Acha tuendelee kuwachora tu, yakigeuka mazombie kazi yetu ni mapanga na marungu 😬😬Ngozi nyeusi shida sana,wanakotengeza hawazitaki wanaopelekewa wajuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tuendelee kuwachora tu, yakigeuka mazombie kazi yetu ni mapanga na marungu 😬😬Ngozi nyeusi shida sana,wanakotengeza hawazitaki wanaopelekewa wajuzi
Hata mm simo kwenye hayo makundi ila nilidhamiria lazima nichanje na nimefanikiwa. Itategemea na watakaokupokea kama watakuelewa sababu kwa nn uchanje.Wakuu, mm pia nmeshafanya booking ya wiki ijayo ila sipo kwenye yale makundi matatu ya muhimu kuchanjwa, je watanikubalia kuchanjwa.?
Ukipata chanjo yoyote inatakiwa kumbukumbu ziingizwe kwenye yellow book. Tz hili linafanywa kwa watu wanaosafiri kwenda nje pekee, nadhani corona italazimika iingie humu kwani ni gonjwa la dunia.Vipi umepewa cheti? Ninapenda kuchua iwapo cheti kinachotolewa kina namba ya kichupa ambacho mtu kachanjwa?
Hata mm simo kwenye hayo makundi ila nilidhamiria lazima nichanje na nimefanikiwa. Itategea na watakaokupokea kama watakuelewa sababu kwa nn uchanje.
Wengine haulizia sana wanachanja bila kuangalia umri wengine wanazingua
Swali uliliandika wap mbona sijaliona Boss wangu, hata hivo mimi sioHukunijibu swali langu nyie ndo 3 sisters wa Arusha?
Hata yangekuwepo madhara, wewe umeifanyia nn nchi yako mpaka sasa??Wapi wamejitokeza kwa wingi kama si propaganda za kuhamasisha kuchanjwa chanjo inayotiliwa mashaka duniani kote? Watu watachanja lakini si kwa kasi ya harakaharaka hivyo. Wanasubiria kuona madhara kwa waliotangulia kuchanjwa ndio na wao wakachanjwe
Walikuwa wengi ndg mpaka chanjo kuisha mapema na wengine walikosa, huku wananchi wakija na kurudishiwa getini.Hao ndo wananchi?mweee
Nenda pale Mwananyamala, Ilala, Temeke hospitali yoyote ya wilaya nanukitika pale utapewa maelekezo mujarabu.Hapa Dar muongozo tafadhali?..
Heshima kwetu wenye umri mkubwa.Acha tuendelee kuwachora tu, yakigeuka mazombie kazi yetu ni mapanga na marungu 😬😬
Covid ni kitu kingine mkuu, hii kitu si Yellow book ya TZ bali unaingia kwenye database ya dunia iliyopo pale Washington, kuwa huyu ni mtu wetu mwaminifu anayekubali.Ukipata chanjo yoyote inatakiwa kumbukumbu ziingizwe kwenye yellow book. Tz hili linafanywa kwa watu wanaosafiri kwenda nje pekee, nadhani corona italazimika iingie humu kwani ni gonjwa la dunia.
Yellow book ni international mkuu. Yellow book ni rafiki yake na passport.Covid ni kitu kingine mkuu, hii kitu si Yellow book ya TZ bali unaingia kwenye database ya dunia iliyopo pale Washington, kuwa huyu ni mtu wetu mwaminifu anayekubali.
Zoezi la kuzindua chanjo kwa mkoa wa Arusha hatimaye limefanyika na wananchi kadhaa kuhudhuria tukio hilo lililofanyika katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha.
Katika tukio hilo lililohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa mkoa ikiwepo kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa pamoja na viongozi wa dini limeshuhudiwa wananchi walijitokeza kwa wingi na hatimaye chanjo hiyo kuisha kwa kituo hicho.
Hapa ni baadhi ya picha wakati wa uzinduzi huo.
View attachment 1878446
Mh. John Mongera akiongea na Viongozi na wananchi walijitokeza kupata chanjo, hawapo pichani.
View attachment 1878448
Viongozi na wananchi wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Arusha alipokuwa akiongea na hadhara kabla uzinduzi wa chanjo hiyo ya uviko.
View attachment 1878445
Hicho kichupa mpaka ukidokoe, kwani wanakizuia kisifike mtaani?Hamna kitu kama hicho mkuu.
Yaani kinachofanyika wakati unachomwa sindano ya malaria ndicho hicho kinafanyika kwenye covid.
Tofauti ni moja, hii ya Covid19 inanyonywa yote kwenye kichupa na ukipenda unaweza kukiiba kichupa ukaondoka nacho.
UmeridhikaMimi ni mmoja wa watu niliobahatika kuchanja asubuhi ya leo pale AICC NYASA HALL.... Tukipata nafasi tuchanje jamani
Dunia yote inachanja ila sehemu kubwa pamoja na bara letu hulazimishwi.Ngozi nyeusi shida sana,wanakotengeza hawazitaki wanaopelekewa wajuzi
Natimba huko na kujipiga chanjo,shukrani mkuu.Nenda pale Mwananyamala, Ilala, Temeke hospitali yoyote ya wilaya nanukitika pale utapewa maelekezo mujarabu.
Pata chanjo ila usije tuletea mtizamo wa ajabu hapo mbele.
Nahisi kinarudi kwa ajili ya user counting.Hicho kichupa mpaka ukidokoe, kwani wanakizuia kisifike mtaani?
Nini hiyo?Aisee, first nikazani wachadema ndiyo wapinga chanjo. Kumbe wafuasi wa magufuri!!!! 😂😂
Nini hiyo?