Arusha: Wabunge 50 wa Uganda walioshiriki Michezo huko Arusha wamekutwa na Maambukizi ya Virusi hatari vya OMICRON.

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Sep 25, 2018
1,114
3,768
Baada ya kurejea Uganda,Wabunge zaidi ya 50 wa Uganda wamekutwa na Maambukizi vya Virusi hatari vya OMICRON. Wizara ya afya nchini Uganda ilisema kwamba,Wabunge hao walipimwa kabla ya kuondoka na hawakuwa na Maambukizi hayo. Hii inamaanisha kwamba,Wabunge hao wameambukizwa Virusi hivyo nchini Tanzania. Taarifa hiyo ilitolewa na Wizara ya Afya ya Uganda siku mbili zilizopita.

UPDATE:

Wabunge wa Kenya ambao Ni Miongoni mwa Wabunge wa Afrika Mashariki walioshiriki Michezo jijini Arusha wamekutwa na Maambukizi ya Virusi vya Korona Aina ya OMICRON baada ya kurejea nchini Kenya wakitokea Arusha Tanzania. Kabla ya Wabunge hao kuondoka nchini Kenya walipimwa na kukutwa hawana Maambukizi hayo. Hii inamaanisha kwamba Virusi hivyo wamevipatia nchini Tanzania.

SWALI FIKIRISHI:

1.Kipindi Cha JPM Jambo hili lingelichukuliwa Kama kitendo Cha Kuihujumu Tanzania,je Serikali ya SSH inalichukuliaje Jambo hili?

2.Je,Kama kweli hao Wabunge wa Kenya na Uganda wamepatia Maambukizi nchini Tanzania,Ina maana kuwa Mpaka Sasa nchi yetu imeshaanza kupigwa na kirusi Cha OMICROM bila hata watu au Serikali kutambua ujio wake?

3.Je,Kama Ni kweli,Wizara ya Afya nchini Tanzania Ina umuhimu gani Katika kupambana na Majanga Kama haya? Yaani Wizara yenye rasilimali zote inashindwa kugundua uwepo wa Virusi hatari Kama OMICRON Mpaka Tunabutuliwa na nchi jirani?
 
Ipo siku huu ugonjwa mtauingiza kwenye kundi la magonjwa ya kawaida tu! Let's wait
Shida ya nchi hii Ni usiri Mkubwa kwenye vitu ambavyo havihitaji usiri.

Hivi inawezekanaje Wabunge zaidi ya 100 kuambukizwa Virusi vya OMICRON bila hata Serikali kujua Mpaka pale waliporejea kwao? Unawezaje kuiamini hii Serikali juu ya uwezo wake wa kulinda usalama wa Nchi? Ni Aibu kubwa Sana.

Serikali inatakiwa kuja na Tamko Murua na ufafanuzi usio na Shaka ili kuondoa hii Sintofahamu kwa wananchi.

Kuna mda kukaa Kimya Sana kunatafsiriwa Kama Uwendawazimu. Serikali ya Tanzania IPO Kimya Sana. Wala haijali kujibu Mashambulizi,Itukanwe au isitukanwe yenyewe Ni Kimya tu.
 
Hakuna hata mtu mmoja mwenye maambukizi ya Omicron nchini Tanzania
🤡🤡🤡
BT1Q.jpg
 
Shida ya nchi hii Ni usiri Mkubwa kwenye vitu ambavyo havihitaji usiri.

Hivi inawezekanaje Wabunge zaidi ya 100 kuambukizwa Virusi vya OMICRON bila hata Serikali kujua Mpaka pale waliporejea kwao? Unawezaje kuiamini hii Serikali juu ya uwezo wake wa kulinda usalama wa Nchi? Ni Aibu kubwa Sana.

Serikali inatakiwa kuja na Tamko Murua na ufafanuzi usio na Shaka ili kuondoa hii Sintofahamu kwa wananchi.

Kuna mda kukaa Kimya Sana kunatafsiriwa Kama Uwendawazimu. Serikali ya Tanzania IPO Kimya Sana. Wala haijali kujibu Mashambulizi,Itukanwe au isitukanwe yenyewe Ni Kimya tu.
Niamini bro! Hili wimbi lipo tangu muda tu, hujasikia timu za mpira zikiripoti wachezaji wao kuumwa mafua na Kikohozi ? Hujiulizi kwanini imekuwa ghafla hivi kila timu inalalamika? Unadhani serikali haijui what is going on?? Wanachofanya ni kufuata nyayo za Magu za kutowatisha watu na kibongo bongo huu ugonjwa unaonekana ni wa kawaida tu.
 
Duh! Lakini sitegemei mama Samia atajichikoea na kuanza kuficha kama mwenda zake, ni dhahiri huko Tz sasa hivi mnaogelea kwa kirusi, yaani huwa mpo mpo tu, bahati na tushukuru Mungu sana hiki kirusi hakiui sana Afrika, la sivyo kwa namna mlivyojichokea kwenye haya mapambano mngefutwa kabisa.
 
Baada ya kurejea Uganda,Wabunge zaidi ya 50 wa Uganda wamekutwa na Maambukizi vya Virusi hatari vya OMICRON. Wizara ya afya nchini Uganda ilisema kwamba,Wabunge hao walipimwa kabla ya kuondoka na hawakuwa na Maambukizi hayo. Hii inamaanisha kwamba,Wabunge hao wameambukizwa Virusi hivyo nchini Tanzania. Taarifa hiyo ilitolewa na Wizara ya Afya ya Uganda siku mbili zilizopita.

UPDATE:

Wabunge wa Kenya ambao Ni Miongoni mwa Wabunge wa Afrika Mashariki walioshiriki Michezo jijini Arusha wamekutwa na Maambukizi ya Virusi vya Korona Aina ya OMICRON baada ya kurejea nchini Kenya wakitokea Arusha Tanzania. Kabla ya Wabunge hao kuondoka nchini Kenya walipimwa na kukutwa hawana Maambukizi hayo. Hii inamaanisha kwamba Virusi hivyo wamevipatia nchini Tanzania.

SWALI FIKIRISHI:

1.Kipindi Cha JPM Jambo hili lingelichukuliwa Kama kitendo Cha Kuihujumu Tanzania,je Serikali ya SSH inalichukuliaje Jambo hili?

2.Je,Kama kweli hao Wabunge wa Kenya na Uganda wamepatia Maambukizi nchini Tanzania,Ina maana kuwa Mpaka Sasa nchi yetu imeshaanza kupigwa na kirusi Cha OMICROM bila hata watu au Serikali kutambua ujio wake?

3.Je,Kama Ni kweli,Wizara ya Afya nchini Tanzania Ina umuhimu gani Katika kupambana na Majanga Kama haya? Yaani Wizara yenye rasilimali zote inashindwa kugundua uwepo wa Virusi hatari Kama OMICRON Mpaka Tunabutuliwa na nchi jirani?
ili kupata ukweli waliokuwa wanacheza nao yaani watanzania nao wapimwe kama hawana au wanao basiiiiiii
 
Duh! Lakini sitegemei mama Samia atajichikoea na kuanza kuficha kama mwenda zake, ni dhahiri huko Tz sasa hivi mnaogelea kwa kirusi, yaani huwa mpo mpo tu, bahati na tushukuru Mungu sana hiki kirusi hakiui sana Afrika, la sivyo kwa namna mlivyojichokea kwenye haya mapambano mngefutwa kabisa.
Korona imesha patana na damu zetu ndugu huo ugonjwa kwetu unakuja kusalimia tu na kutuachia mibaraka ya kinga original
 
Hakuna hata mtu mmoja mwenye maambukizi ya Omicron nchini Tanzania
Wacha ww watu tumeugua iyo amicron wiki iliyopita hata hatujui tumeitolea wapi karibia myaa mzma masela teumwa mm enyewe nilijua malaria Ila nilipoeenda kupima sikukutwa na malaria, typhoid,UTI au amoeba Ila wakati nipo kwenye matibabu ya kawaida tu ya maumivu na homa ndipo nilipo gundua kuna tatzo baada ya mm kuambukiza nyumba nzima na bro wng kaenda pima alipokuwa na safari ya SA last week nakukataliwa kuwa kaukwa amicron moja kwa zote nikajua mm ndo zero patient nimewaambukiza wenzangu na cha ajabu zaidi karibia masela mtaa mzima tumeugua hii sio mchezo hii kitu huwezi jua utaipata wapi maana hata ujikinge vp, sasa ndo nimeamini hili li kidudu lipo,sikuwa nikiamini tangia huu ugonjwa uingie nilikuwa naona ni siasa na propaganda Ila covid ipo sana tu cha muhimu ni kuwa tayari kupambana nayo utakapoipata tisiishi in denial.
 
Wacha ww watu tumeugua iyo amicron wiki iliyopita hata hatujui tumeitolea wapi karibia myaa mzma masela teumwa mm enyewe nilijua malaria Ila nilipoeenda kupima sikukutwa na malaria, typhoid,UTI au amoeba Ila wakati nipo kwenye matibabu ya kawaida tu ya maumivu na homa ndipo nilipo gundua kuna tatzo baada ya mm kuambukiza nyumba nzima na bro wng kaenda pima alipokuwa na safari ya SA last week nakukataliwa kuwa kaukwa amicron moja kwa zote nikajua mm ndo zero patient nimewaambukiza wenzangu na cha ajabu zaidi karibia masela mtaa mzima tumeugua hii sio mchezo hii kitu huwezi jua utaipata wapi maana hata ujikinge vp, sasa ndo nimeamini hili li kidudu lipo,sikuwa nikiamini tangia huu ugonjwa uingie nilikuwa naona ni siasa na propaganda Ila covid ipo sana tu cha muhimu ni kuwa tayari kupambana nayo utakapoipata tisiishi in denial.
Waziri mkuu kasema hizo ni propaganda hakuna hata mgonjwa mmoja wa omricon, ni watu tu wanataka kuharibu nchi😆
IMG_20211215_204336.jpg
 
Back
Top Bottom