Ok unaenda sambamba na mpango wangu wa kashata za Bangimie nataka anzisha biashara ya juice ya mmea wa bhangiiii.
hapa nafwatilia vibali vya kupewa eneo la kulima ka hekari 500, na kuleta mashine za kusindika ili kuzalisha juice. Juce ya mmea huo wa Cha R-chuga inaaminika kupunguza magonjwa mwilini
Ikithibitika,RPC wa huko na Mkuu wa magereza waondoke
Mgambo? Si bora wapewe Sungusungu tu!Hili Jeshi limekuwa ni aibu kwa Taifa.
Liwe replaced na Jeshi la Mgambo lenye nidhamu
huu mtindo upo siku zote. Kunamwamba ashakuta gari yake ipo juu ya mawe kituo cha polisi.Kama serikalini wanaiba wao wafanye nini, tumerudi zama za chukua chako mapema
Duh, noma sanaInanikumbusha kesi Moja kuna dalali alimpiga mama mmoja shamba milion 60.yule dalali alijua yule mama atakwenda polisi kuripoti dalali akawahi polisi akaongea na MKUU wa kituo akamwambia atampa milion 5 .yule mama alipofika kituoni akaripoti akapewa Askari wakamkamate dalali .wakamkuta kwake wakamkamata wakampeleka kituoni .yule dalali anakaa mahabusu kuanzia asubuhi mpaka usiku anatolewa anakwenda kulala nyumbani kwake saa 11alfajiri anarudi kituoni.yule mama akiripoti anamkuta kituoni.
(Ili tukio lilitokea Senegal)
dah hii nchiWafanyabiasha vinara wa dawa za kulevya aina ya Mirungi kutoka Nchini Kenya waliokamatwa na magunia 15 mei 14 mwaka huu katika Mji wa Namanga, wanadaiwa kuachiwa katika mazingira ya utata, usiku wa manane huku gari lililokuwa likisafirisha mihadarati hiyo likitoweka kituo cha polisi .
Wafanyabiashara hao{majina tunahifadhi kwa sasa} waliachiwa usiku wa mei 16 mwaka huu saa 6 usiku kwa maagizo kutoka kwa viongozi wa juu wa jeshi la polisi Arusha.
Kamanda wa polisi Arusha,Justin Masejo alipoulizwa juu ya watuhumiwa hao kuachiwa muda huo alidai kuwa polisi inatoa dhamana muda wowote kwani haina kikomo cha muda wa kutoa dhamana .
Masejo alipoulizwa kama watuhumiwa wa madawa ya kulevya kisheria wanadhamana alidai wanayo kwa mujibu wa sheria na alipoulizwa gari lililobeba madawa hayo nayo linapaswa kuachiwa katika Kituo Kikuu cha Arusha alisema litapatikana kesi itakapopelekwa mahakamani .
‘’Tunatoa dhamana muda wowote hata iwe usiku wa manane na kuachiwa kwa gari lililobeba madawa sina taarifa lakini kesi ikipelekwa mahakamani litapatikana’’ alisema Masejo
Wafanyabiashara hao walikamatwa katika mji wa Namanga na kikosi kazi cha polisi Arusha kilichokwenda kufanya kazi hiyo maalumu kwani walikamatwa majira ya saa 1.30 asubuhi wakiwa tayari wameingia Nchini kwa ajili ya kusambaza mzigo huo katika Mikoa Mitatu ya Arusha,Manyara na Kilimanjaro.
Watuhumiwa hao wamekamatwa wakiwa katika gari ndogo aina ya Toyota Foresta yenye namba za Usajili KDC 922T iyokuwa ikiongoza gari kubwa{ ambalo limeachiwa} lililokuwa limebeba shehena hiyo ya Mirungi.
Habari za uhakika zilisema kuwa gari iliyobeba Mirungi iliachiwa katika kituo Kikuu cha Polisi Arusha katika mazingira ya utata ambayo sio sahihi kwa mujibu wa sheria ya kusafirisha .
Kwa mujibu wa chanzo magunia hayo mara baada ya kukamatwa yalihifadhiwa stoo ya polisi na gari ndogo inayomilikiwa na wafanyabiashara hao bado iko kituo cha polisi Kituo kikuu Arusha hadi sasa ila gari kubwa lililokuwa na mzigo huo limetoweka
Hata hivyo habari zaidi kutoka ndani ya jeshi la polisi Arusha zinasema kuwa kukamatwa kwa Wafanyabiashara hao hakukuwafurahisha baadhi ya vigogo wa jeshi hilo Arusha na Longido{majina tunayo} kwani walikuwa wakifaidika kila wiki na biashara hiyo.
Habari zaidi zilisemakuwa vigogo hao wa Polisi kwa na sasa wanahaha na kuhangaika huko na kule kuhakikisha wanawanasua Wafanyabiashara hao katika kesi hiyo ikiwa ni pamoja na kupindisha ukweli kwa kusema kuwa askari waliwakamata wafanyabiashara hao Nchini Kenya kitu ambacho sio ya kweli kwani walikamatwa wakati tayari wamevuka mpaka na kuingia Nchini.
Vyanzo vya Habari viliendelea kusema kuwa kutokana na vigogo hao wa Polisi ambao mmoja wao inadaiwa yuko Mkoani hapa kwa zaidi ya miaka 15 bila kuhamishwa katika kitengo cha Operesheni kwa sasa wanawasukia ajali askari waliokwenda kuwakamata kwa madai kuwa sio eneo lao la kazi wakati askari hao kabla ya kukamata wafanyabiashara hao walilipoti Longido na kusaini lakini hawakusema wanakwenda kufanya kazi gani katika Mji wa Namanga kwa kuepuka taarifa kufuja.
Hata hivyo Habari zaidi kutoka ndani ya jeshi la polisi Kituo Kikuu Arusha zilisema kuwa Wafanyabiashara hao usiku wa juzi kuamkia jana majira ya saa 3.45 usiku Wafanyabiashara walifanikiwa kudhaminiwa na jana asubihi walikaa katika ofisi ya masijala wakisikilizia hatima yao.
Baadhi ya Askari Polisi Arusha na raia wengine ambao waliomba kutotajwa majina yao walionyesha kukerwa na jinsi kesi hiyo inavyoendeshwa kwani ni kinyume kabisa cha sheria na kuna upendeleo mkubwa.
Walidai watuhumiwa wengine wa Madawa hufikishwa mahakamani haraka na kunyimwa dhamana kwa mujibu wa sheria lakini wafanyabiashara hao wanaishi rumande kama wako majumbani mwao kwani wanapata mahitaji yote ikiwemo mawasiliano ya simu hatua ambayo sio sahihi.
Askari mmoja alisema kwa mujibu wa sheria ya madawa ya kulevya iwe bangia au mirungi ukikamatwa unasafirishwa kesi hiyo haina dhamana polisi wala Mahakamani lakini cha kushangaza vigogo polisi ndio wanaongoza kuvunja sheria.
Ziliwahi kuisha? Au kusitakwa mda?Enzi zao hizi, ni kula kwa urefu wa kamba na kulamba asali
Sikutegemea comment hii itoke kwako.Uliyeandika unateseka kuliko hata watuhumiwa,
Tanzania si waruhusu tu mirungi iwe biashara halali ila Kodi iwe juuWafanyabiasha vinara wa dawa za kulevya aina ya Mirungi kutoka Nchini Kenya waliokamatwa na magunia 15 mei 14 mwaka huu katika Mji wa Namanga, wanadaiwa kuachiwa katika mazingira ya utata, usiku wa manane huku gari lililokuwa likisafirisha mihadarati hiyo likitoweka kituo cha polisi .
Wafanyabiashara hao{majina tunahifadhi kwa sasa} waliachiwa usiku wa mei 16 mwaka huu saa 6 usiku kwa maagizo kutoka kwa viongozi wa juu wa jeshi la polisi Arusha.
Kamanda wa polisi Arusha,Justin Masejo alipoulizwa juu ya watuhumiwa hao kuachiwa muda huo alidai kuwa polisi inatoa dhamana muda wowote kwani haina kikomo cha muda wa kutoa dhamana .
Masejo alipoulizwa kama watuhumiwa wa madawa ya kulevya kisheria wanadhamana alidai wanayo kwa mujibu wa sheria na alipoulizwa gari lililobeba madawa hayo nayo linapaswa kuachiwa katika Kituo Kikuu cha Arusha alisema litapatikana kesi itakapopelekwa mahakamani .
‘’Tunatoa dhamana muda wowote hata iwe usiku wa manane na kuachiwa kwa gari lililobeba madawa sina taarifa lakini kesi ikipelekwa mahakamani litapatikana’’ alisema Masejo
Wafanyabiashara hao walikamatwa katika mji wa Namanga na kikosi kazi cha polisi Arusha kilichokwenda kufanya kazi hiyo maalumu kwani walikamatwa majira ya saa 1.30 asubuhi wakiwa tayari wameingia Nchini kwa ajili ya kusambaza mzigo huo katika Mikoa Mitatu ya Arusha,Manyara na Kilimanjaro.
Watuhumiwa hao wamekamatwa wakiwa katika gari ndogo aina ya Toyota Foresta yenye namba za Usajili KDC 922T iyokuwa ikiongoza gari kubwa{ ambalo limeachiwa} lililokuwa limebeba shehena hiyo ya Mirungi.
Habari za uhakika zilisema kuwa gari iliyobeba Mirungi iliachiwa katika kituo Kikuu cha Polisi Arusha katika mazingira ya utata ambayo sio sahihi kwa mujibu wa sheria ya kusafirisha .
Kwa mujibu wa chanzo magunia hayo mara baada ya kukamatwa yalihifadhiwa stoo ya polisi na gari ndogo inayomilikiwa na wafanyabiashara hao bado iko kituo cha polisi Kituo kikuu Arusha hadi sasa ila gari kubwa lililokuwa na mzigo huo limetoweka
Hata hivyo habari zaidi kutoka ndani ya jeshi la polisi Arusha zinasema kuwa kukamatwa kwa Wafanyabiashara hao hakukuwafurahisha baadhi ya vigogo wa jeshi hilo Arusha na Longido{majina tunayo} kwani walikuwa wakifaidika kila wiki na biashara hiyo.
Habari zaidi zilisemakuwa vigogo hao wa Polisi kwa na sasa wanahaha na kuhangaika huko na kule kuhakikisha wanawanasua Wafanyabiashara hao katika kesi hiyo ikiwa ni pamoja na kupindisha ukweli kwa kusema kuwa askari waliwakamata wafanyabiashara hao Nchini Kenya kitu ambacho sio ya kweli kwani walikamatwa wakati tayari wamevuka mpaka na kuingia Nchini.
Vyanzo vya Habari viliendelea kusema kuwa kutokana na vigogo hao wa Polisi ambao mmoja wao inadaiwa yuko Mkoani hapa kwa zaidi ya miaka 15 bila kuhamishwa katika kitengo cha Operesheni kwa sasa wanawasukia ajali askari waliokwenda kuwakamata kwa madai kuwa sio eneo lao la kazi wakati askari hao kabla ya kukamata wafanyabiashara hao walilipoti Longido na kusaini lakini hawakusema wanakwenda kufanya kazi gani katika Mji wa Namanga kwa kuepuka taarifa kufuja.
Hata hivyo Habari zaidi kutoka ndani ya jeshi la polisi Kituo Kikuu Arusha zilisema kuwa Wafanyabiashara hao usiku wa juzi kuamkia jana majira ya saa 3.45 usiku Wafanyabiashara walifanikiwa kudhaminiwa na jana asubihi walikaa katika ofisi ya masijala wakisikilizia hatima yao.
Baadhi ya Askari Polisi Arusha na raia wengine ambao waliomba kutotajwa majina yao walionyesha kukerwa na jinsi kesi hiyo inavyoendeshwa kwani ni kinyume kabisa cha sheria na kuna upendeleo mkubwa.
Walidai watuhumiwa wengine wa Madawa hufikishwa mahakamani haraka na kunyimwa dhamana kwa mujibu wa sheria lakini wafanyabiashara hao wanaishi rumande kama wako majumbani mwao kwani wanapata mahitaji yote ikiwemo mawasiliano ya simu hatua ambayo sio sahihi.
Askari mmoja alisema kwa mujibu wa sheria ya madawa ya kulevya iwe bangia au mirungi ukikamatwa unasafirishwa kesi hiyo haina dhamana polisi wala Mahakamani lakini cha kushangaza vigogo polisi ndio wanaongoza kuvunja sheria.
Ndio maana wanafaulishwa wasije kuangukia huko kwenye uhujumu uchumi.😅😅😅Mirungi na madawa ya kulevya ni kesi za uhujumu uchumi hazina dhamana.