Arusha: Vinara waliokamatwa na gunia 15 za Mirungi wachomolewa usiku wa manane Polisi

Tumerejea kwa kishindo tulikotoka...saiv magendo mipakani ukikamatwa utalala polisi kwa uzembe wako wa kutokamilisha muamala
 
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
IGP ni kama anadharaulika na hawa makamanda wadogo wadogo....no wonder ndio maana baadhi wanaomba wapewe hicho cheo chake maana amekosa kauli za mamlaka.
Wankyo Nyigesa Aione Hii
 
Hili jeshi la Siro linakoelekea siko.
Yule dogo aliyeuawa Mtwara na uchunguzi wa yule polisi aliyejinyonga (jinyonga) ? Kapuni.
Panyabuku wanatesa Kama Wana leseni vile.
Haya Sasa kesi ya madawa, wstuhumiwa wanaachiwa usiku kweusi.
Siro what is happening au unafikiri kazi ya polisi ni ku deal na chadema tu?
Tumkumbuke Yule Kamanda Aliyeomba Kuwa IGP Kwa Muda Mchache
 
Hii miamdishi ya uko bwana Yani inashindwa kufuatilia kesii inatuletea sinema humu tunaelewa nni. Hapo sijuu n mivuta sigara zile kubwa mnatucchosha. Na Stori zenu za maapolis ccm
 
Issue mbona hailewek mara mateja mara yameachiwa mara yapo bado yanahudumiwa haha maandish ya uko bwana
 
Hiii miandish ya uko bwana Yan inashindwa kutoa taarfa znazoeleweka imekaa kipiga dili hapa mara vinara mara mateja sijuii huwa inatoka kupga sigara kkubwa ndio inaandika humu nenden uko na Stori zenu za maapolis ccm
 
Ukurasa wa mbele wa Gazeti la Raia Mwema, leo Ijumaa Mei 20, 2022

44e7279b-d39c-4685-9d95-f000cac78831.jpg
 
Jamani nchi ilikuwa ngumu sana huko nyuma so, acheni watu wapige pesa kadiri wanavyoweza.

Si nasikia mmekubaliana kuwa kila mtu kwa urefu wa kamba inapofika.
 
Back
Top Bottom