OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,689
asali imelambwa
Wankyo Nyigesa Aione HiiAibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
IGP ni kama anadharaulika na hawa makamanda wadogo wadogo....no wonder ndio maana baadhi wanaomba wapewe hicho cheo chake maana amekosa kauli za mamlaka.
Tumkumbuke Yule Kamanda Aliyeomba Kuwa IGP Kwa Muda MchacheHili jeshi la Siro linakoelekea siko.
Yule dogo aliyeuawa Mtwara na uchunguzi wa yule polisi aliyejinyonga (jinyonga) ? Kapuni.
Panyabuku wanatesa Kama Wana leseni vile.
Haya Sasa kesi ya madawa, wstuhumiwa wanaachiwa usiku kweusi.
Siro what is happening au unafikiri kazi ya polisi ni ku deal na chadema tu?
Ikithibitika,RPC wa huko na Mkuu wa magereza waondokeUkurasa wa mbele wa Gazeti la Raia Mwema, leo Ijumaa Mei 20, 2022
Mpaka Siro afukuzweHili Jeshi limekuwa ni aibu kwa Taifa.
Liwe replaced na Jeshi la Mgambo lenye nidhamu
Sasa hv ni kula kwa urefu wa kamba,sasa kama serikalini wanaiba mabilioni kwa kufoji safari,acha polisi nao wapige kwa urefu wa kamba.Ukurasa wa mbele wa Gazeti la Raia Mwema, leo Ijumaa Mei 20, 2022