Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Taarifa za uhakika ambazo nimezipata kutoka Jijini Arusha kuna mtoto wa Miaka 13 Amepotea kuanzia siku ya jumamosi jioni ...
Anaitwa Norini Alex Mrima amepotea kuanzia siku ya jumamosi jioni baada ya kuondoka nyumbani hakurudi tena ni mwenyeji wa kata ya Sinoni Jijini Arusha .Taarifa hizi zimeripotiwa katika kituo cha Polisi UNGALTD Jijini Arusha. UNG/RB/2350/2018
Msaada atayemwona popote anaweza kutoa taarifa katika kituo cha Polisi chochote. Au anaweza kuwasiliana na ndugu zake kwa namba hizi 0765345703
Tahadhari usipige simu wala kutuma sms kama hujamwona anayefutwa {Norini}
Anaitwa Norini Alex Mrima amepotea kuanzia siku ya jumamosi jioni baada ya kuondoka nyumbani hakurudi tena ni mwenyeji wa kata ya Sinoni Jijini Arusha .Taarifa hizi zimeripotiwa katika kituo cha Polisi UNGALTD Jijini Arusha. UNG/RB/2350/2018
Msaada atayemwona popote anaweza kutoa taarifa katika kituo cha Polisi chochote. Au anaweza kuwasiliana na ndugu zake kwa namba hizi 0765345703
Tahadhari usipige simu wala kutuma sms kama hujamwona anayefutwa {Norini}