Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Kwa wale waliokuwepo kwenye 80's nadhani mnakumbuka hii kwaya kutoka Arusha iliyojulikana kama "Arusha Town Choir"... Mimi binafsi huwa mpaka kesho naipa hii kwaya kuwa kwaya bora kabisa kwa wakati huo...
Na kwa miaka ya sasa 2000's nadhani kwaya bora kabisa ni Kurasini SDA...
God Bless
Na kwa miaka ya sasa 2000's nadhani kwaya bora kabisa ni Kurasini SDA...
God Bless