FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
Kwani mkataba unasema kazi ifanyike katika kipindi cha muda gani?
Nyuma ya mango garden kinondoniOi mzee ni barabara gani inapita kwako inayowekwa lami nataka nijue tu ni mitaa gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi hii barabara washaanza kuiunganisha kile kipande kilichobakia auMwezi wa Sita Jembe atatia timu A town kufuatilia ile barabara ya mianzini...ole wao Tarura na saa hizi za majeruhi.