Tarura Arusha mmeshindwa msimamia mkandarasi alie pewa tenda ya njia ya baraaa(gulelo to mboma ya siara ) wananchi wana teseka na vumbi la barabara hiyopaka ila leta madhara kwa afya ya watu sana sana watoto . kinacho takiwa ni mkandarasi kupitisha GARI la Maji .
Wana nchi wajipanga kuandamana
Wana nchi wajipanga kuandamana