Friends of Lowassa kutoka mikoa mbali mbali wapo katika hatua za mwisho kujiandaa na safari ya Arusha nyumba za wageni kuanzia J5 zitakuwa zimefurika kama una mpango wa kuja Arusha ni vyema ukosogeza mbele safari yako.
Nitafurahi kuwaona jukwaani Chenge na Rostam Azizi, bila kumsahau mtaalam wao Karamagi
Kweli hii ni timu ya "ushindi wa kifisadi", na ushindi wao ni kilio kwa Watanzania.