Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Diwani wa sokoni I kupitia TLP amefukuzwa leo na cham chake baada ya kubainika kuwa kusuka uongozi wa NCCR mageuzi na kusimamisha wagombea kwa tickecket ya NCCR Mageuzi...
Labda niwakumbushe watanzania kuwa Mwaka 2010 Lyatonga Mrema mwenyekiti wa TLP alimpigia kampeni Kikwete..
Labda niwakumbushe watanzania kuwa Mwaka 2010 Lyatonga Mrema mwenyekiti wa TLP alimpigia kampeni Kikwete..