ARUSHA: Shule yafuta likizo fupi kama dawa ya kukomesha tatizo la ujauzito kwa Wanafunzi

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Uongozi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Lekule iliyopo mkoani Arusha imefuta likizo zote fupi kwa wanafunzi wake kama njia mojawapo ya kupunguza idadi ya wanafunzi wanaopata ujauzito baada ya kubainika kuwa mimba zote kwa wanafunzi zimekua zikipatikana wakati wa likizo.

Chanzo: ITV
 
kazi ipo kuwazuia awa daa zetu....watawazui kwa ilo ila watabuni njia nyingine
 
Akili za kukurupuka na kutafuta kiki. Mihemko isiyo na busara wala chembe ya weledi.

Hivi ukifuta likizo fupi ya wiki mbili alafu baada ya semester unaruhusu likizo ya mwezi hapo unakua umefanyaje sasa?


Si sawa na kukinga maji bombani unajaza kwenye matank eti unapeleka baharini kuijaza?

Kweli nchi yetu imefikia climax, kuna mengi tutaona siku hizi za usoni. Daaah asee
 
Hiyo ratiba itabadilika tu, watakapokuwa na likizo ndefu ndio hapo mimba zitatungwa.
 
Back
Top Bottom