utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Lema ndiyo atakaipeleka Chadema kuzimu.
chadema tayari kipo kuzimu zaidi ya hapo sijui nini kingine kitokee.
Lema ndiyo atakaipeleka Chadema kuzimu.
hivi hapa tanzania kunamhuni zaidi yako wewe na yericko vijana wadogo mnatumika kama matambala ya deki.Yaani kitendo cha Lema kumshinda yule Mama uchaguzi mkuu uliopita imekua nongwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu?Sasa ameamua kununua wahuni na kujiita wanachadema wanaopinga hatua za kinidhamu?
hizi issue zilishafungwa na Dr slaa. Mod tenda haki kwa hawa wachochezi wachache wa CCM
Ujumbe Mzito sana, mwenye macho aone, mwenye masikio asikie. CC: Godbless J Lema , CHAMVIGA , Simiyu Yetu , THE BIG SHOW , Chabruma , sixgates , utaifaKwanza , Ritz , FaizaFoxy
Yaani kitendo cha Lema kumshinda yule Mama uchaguzi mkuu uliopita imekua nongwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu?Sasa ameamua kununua wahuni na kujiita wanachadema wanaopinga hatua za kinidhamu?
Ktk Menejimenti, Ukishajua tatizo inakuwa rahisi kulishughulikia. Wakiamua kutatua tatizo, litaisha
Lema ni wa kwetu kwann asipewe nafasi? vp nafasi ikaliwe na mtu wa kwingineko? Hapa tutatekeleza majukumu yetu kama tulivyotekeleza kwa chacha wangu!
Ktk Menejimenti, Ukishajua tatizo inakuwa rahisi kulishughulikia. Wakiamua kutatua tatizo, litaisha
Yaani kitendo cha Lema kumshinda yule Mama uchaguzi mkuu uliopita imekua nongwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu?Sasa ameamua kununua wahuni na kujiita wanachadema wanaopinga hatua za kinidhamu?
Chadema walijifanya wanajua kumbe wanaungua juwa moto wa zitto unazidi kuwaunguza.Ujumbe Mzito sana, mwenye macho aone, mwenye masikio asikie. CC: Godbless J Lema , CHAMVIGA , Simiyu Yetu , THE BIG SHOW , Chabruma , sixgates , utaifaKwanza , Ritz , FaizaFoxy
Ni Mchaga, hivyo anahaki ya kuamua lolote ikibidi kumpiga mtu kitofali bila mtu mwingine kumhoji. Japo ni Book no, lakini hiyo sio Sababu ya msingi ikiwa yeye ni Mchaga.vita vya maneno sasa vifike mwisho chadema tupigane vita yenyewe kabisa watakaoshinda ndiyo wachukue chama kwani lema yeye nani mpaka asumbue watu kiasi hicho.
Yaani kitendo cha Lema kumshinda yule Mama uchaguzi mkuu uliopita imekua nongwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu?Sasa ameamua kununua wahuni na kujiita wanachadema wanaopinga hatua za kinidhamu?
Wanywa viroba munanichekesha sana, yani mtu kutaka kugombea nafasi ya Mwenye kiti ni Usaliti?
Mkuu naheshimu mawazo yako, napenda kukuakikishia kuwa ndani ya Chadema tatizo lilishajulikana, na ukijua tatizo sio tatizo tena.
Subiri siku 14 walizopewa wale Wasaliti zimalizike ndio utaamini ninachokisema.