MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Inamaana "O" level alisoma kwa miaka mitatu tu? Kweli siasa ni kiini macho.
Na madai yake ni kuwa alifanya mtihani wa form four online, maana tukitazama rekodi za NECTA hakuna Jina lake.
Inamaana "O" level alisoma kwa miaka mitatu tu? Kweli siasa ni kiini macho.
Soma bango hilo lililobebwa na mmoja wa wanachama wa CHADEMA akilionesha jana kwa waandishi wa habari(hawapo pichani). akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Monduli Amani salenga.
Amani Salenga akiwa na kundi kubwa la vijana walikutana na waandishi wa habari na kudai kuwa M bunge wa Arusha Lema ndiye chanzi cha vurugu ndani ya CHADEMA Kwakuanzisha kikundi cha vijana kinachohatarisha maisha ya wale wanaopinga na mawazo ya Lema katika utendaji wa chama hapa Arusha.
Amani alisisitiza kuwa kwa kuwa CHADEMA sasa imeamua kufanya maamuzi kwa maslahi ya watu binafsi hususani swala la Viongozi waliovuuliwa vyeo vyao(zitto).Basi kila Mwanachadema tambue kuwa ndani ya chama hicho kuna block mbili(pande mbili)CHADEMA ASILI na CHADEMA FAMILY).
Vijana hao waliokuwa na mabango mbalimbali wamekiri kuwa chama sasa kimefikia hatua mbaya kwa kuwa watu wanatimuliwatimuliwa tu kwa sababu zisizoeleweka na bila kufuata utaratibu wa katiba ya nchama.
Hivyo wanainga hatua ya Zitto kuvuliwa vyeo na wanasisitiza kuwa Lema ndiye tatizo ndani ya chadema kwa hizi choochoko zinazoendelea.
Ndoto za mchana,CHADEMA kamwe haiwezi kwenda kuzimu!Lema ndiyo atakaipeleka Chadema kuzimu.
Na madai yake ni kuwa alifanya mtihani wa form four online, maana tukitazama rekodi za NECTA hakuna Jina lake.
Lema ndiyo atakaipeleka Chadema kuzimu.
Soma bango hilo lililobebwa na mmoja wa wanachama wa CHADEMA akilionesha jana kwa waandishi wa habari(hawapo pichani). akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Monduli Amani salenga.
Amani Salenga akiwa na kundi kubwa la vijana walikutana na waandishi wa habari na kudai kuwa M bunge wa Arusha Lema ndiye chanzi cha vurugu ndani ya CHADEMA Kwakuanzisha kikundi cha vijana kinachohatarisha maisha ya wale wanaopinga na mawazo ya Lema katika utendaji wa chama hapa Arusha.
Amani alisisitiza kuwa kwa kuwa CHADEMA sasa imeamua kufanya maamuzi kwa maslahi ya watu binafsi hususani swala la Viongozi waliovuuliwa vyeo vyao(zitto).Basi kila Mwanachadema tambue kuwa ndani ya chama hicho kuna block mbili(pande mbili)CHADEMA ASILI na CHADEMA FAMILY).
Vijana hao waliokuwa na mabango mbalimbali wamekiri kuwa chama sasa kimefikia hatua mbaya kwa kuwa watu wanatimuliwatimuliwa tu kwa sababu zisizoeleweka na bila kufuata utaratibu wa katiba ya nchama.
Hivyo wanainga hatua ya Zitto kuvuliwa vyeo na wanasisitiza kuwa Lema ndiye tatizo ndani ya chadema kwa hizi choochoko zinazoendelea.
Kumbe Lema ni jemedali wa kweli! anaweza kuipeleka kuzimu Chadema wakati CCM na vidampa wala ubwabwa kama wewe mmeshindwa! Kweli Lema ana nguvu zaidi ya CCM.
Lema ndiyo atakaipeleka Chadema kuzimu.
Yaani kitendo cha Lema kumshinda yule Mama uchaguzi mkuu uliopita imekua nongwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu?Sasa ameamua kununua wahuni na kujiita wanachadema wanaopinga hatua za kinidhamu?
Wewe ndio unyamaze kabisa, una kashfa nzito ya kutaka kumuua Zitto kwa sumu. Na hata mama yake juzi amethibitisha hilo kuwa mlijaribu kumuua mkashindwa. Jisafishe kwa hili kwanza.
Yaani kitendo cha Lema kumshinda yule Mama uchaguzi mkuu uliopita imekua nongwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu?Sasa ameamua kununua wahuni na kujiita wanachadema wanaopinga hatua za kinidhamu?
Yaani kitendo cha Lema kumshinda yule Mama uchaguzi mkuu uliopita imekua nongwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu?Sasa ameamua kununua wahuni na kujiita wanachadema wanaopinga hatua za kinidhamu?
Mkuu Ben Saanane nakwambia huyu fisadi anawanga hamnaga mfano. Yuko kampan moja na huyu Diwani wa Mlangarini anayeitwa Mathias Manga yani nakwambia ya kwamba hata hilo Bango ni imeandaliwa tu na kupigwa picha na huyu mtumwa aliyeibandika akaja nalo hapa jamvini akifikiri atawakuta wehu wenzake kumbe anawakuta watu na akili zao timamu.
Huyu member sijui yuko wp siku hizi sokoinei.......hebu kuja kipande hii chap chap kwa maoni yako ya picha na kinachoendelea.
Soma bango hilo lililobebwa na mmoja wa wanachama wa CHADEMA akilionesha jana kwa waandishi wa habari(hawapo pichani). akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Monduli Amani salenga.
Amani Salenga akiwa na kundi kubwa la vijana walikutana na waandishi wa habari na kudai kuwa M bunge wa Arusha Lema ndiye chanzi cha vurugu ndani ya CHADEMA Kwakuanzisha kikundi cha vijana kinachohatarisha maisha ya wale wanaopinga na mawazo ya Lema katika utendaji wa chama hapa Arusha.
Amani alisisitiza kuwa kwa kuwa CHADEMA sasa imeamua kufanya maamuzi kwa maslahi ya watu binafsi hususani swala la Viongozi waliovuuliwa vyeo vyao(zitto).Basi kila Mwanachadema tambue kuwa ndani ya chama hicho kuna block mbili(pande mbili)CHADEMA ASILI na CHADEMA FAMILY).
Vijana hao waliokuwa na mabango mbalimbali wamekiri kuwa chama sasa kimefikia hatua mbaya kwa kuwa watu wanatimuliwatimuliwa tu kwa sababu zisizoeleweka na bila kufuata utaratibu wa katiba ya nchama.
Hivyo wanainga hatua ya Zitto kuvuliwa vyeo na wanasisitiza kuwa Lema ndiye tatizo ndani ya chadema kwa hizi choochoko zinazoendelea.