Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,417
- 4,113
chadema tayari kipo kuzimu zaidi ya hapo sijui nini kingine kitokee.
Asante kwa taarifa dada yangu. Nimekuelewa dada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chadema tayari kipo kuzimu zaidi ya hapo sijui nini kingine kitokee.
Mdanganye aliezaliwa leo."Naomba niseme na naomba ibaki kuwa hivyo!
Kama kuna mtu yeyote anafikiria Lema ni chadema basi amekosea sana!
Lema si mwanachadema hata kidogo na Lema huyu huyu ndiye anaetumiwa kuivuruga chadema si Arusha pekee bali katika baadhi ya maeneo mengine tena nchini!
Lema alianza kuivuruga chadema hata kabla hajatangaza kugombea ubunge,na hata wakati yukonTLP kazi yake kubwa huko ilikuwa ni kuivuruga TLP ambayo hakuna mtu asiyejua yaliyokuja kuipata TLP baadae!
Huyu huyu Lema hata huo ubunge alioupata ni kwa sbb ya ccm ambayo ilifanya mkakati maalum wa kuhahakikisha kwamba anapewa kama shukrani pia kama malipo ya kazi yake kwa kazi hiyo maalum!
Ushahidi wa haya yote angalia yanayoendela Arusha pengine hii yote ni mipango yake anayotekeleza kwa kazi maalum aliyotumwa,ni mara ngapi kwenye mikutano yake kumefanyika vurrugu za ajabu ili kuchafua hali ya chadema?!,leo ameonekana zitto kwa mba ndiye msaliti.
Kila kitu kina mwanzo na mwisho wake,mwisho wake utafika tu Lema."
Hii vita inatakiwa kupigana kitaalamu
Zaidi sana majibu yake ni kumuomba Mungu
Wanywa viroba munanichekesha sana, yani mtu kutaka kugombea nafasi ya Mwenye kiti ni Usaliti?
LEMA EDUCATION School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level Cambridge International College Diploma 2008 2010 DIPLOMA Geita Secondary School O-Level Education 1989 1991 SECONDARY Kolila Secondary School A-Level Education 1991 1993 SECONDARY Kalangala Primary School Primary Education 1983 1989 PRIMARY Cambridge International College Degree 2010 Todate NOT COMPLETED
Mdanganye aliezaliwa leo.
Kamuulize MTEI, yeye ndie mwenye dhamana ya kuwatimua wanachama wanaonyesha nia ya kugombea nafasi za uongozi ndani ya chama.jaman nauliza hakuna mchaga aliyewahi kufukuzwa chadema?
Yaonekana umeishiwa hoja juu ya PANYA wenu ZITTO,Yaonekana pia umevurugwa na uamuzi mzuri wa CCWewe si akili na matendo yako ni sawa na Lema ndiyo maana unasema hivyo,unajua watu waliozoea kushikishwa ukutu akili zao ni sawa,na zilikwishaharibika!!
Yaonekana umeishiwa hoja juu ya PANYA wenu ZITTO,Yaonekana pia umevurugwa na uamuzi mzuri wa CC
jaman nauliza hakuna mchaga aliyewahi kufukuzwa chadema?
Tokea ukose ajira cku hizi hutoki humu bw mwigamba,ila ktk waraka kuna kafungu kama 2m PANYA ameahidi kuwapa msiteseke kama ivi.Nitakuwa wa mwisho kuvurugwa tena nikiwa marehemu,wenye kuvurugwa ni nyie kwa sbb ndiyo shughuli zenu hizo za kujipatia kipato,ndio mana akili zenu ni kama za samaki!!
Tokea ukose ajira cku hizi hutoki humu bw mwigamba,ila ktk waraka kuna kafungu kama 2m PANYA ameahidi kuwapa msiteseke kama ivi.