Afande Tanzania
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 460
- 1,169
Sawa Musiba, vipi umepona? Maana ulivyohojiwa kuhusu kutowalipa mshahara wale wajinga wenzio ukasema unapambania uhai wako unahisi mwendakuzimu anakuita
Nyie ndio mawakala wa shetani.Wataumbuka wote. Tusubiri wa techno sasa.
Dah kwaio pona yake ni ulinzi wa huko Gerezani? Vipi na mitego yakudondoshewa sabuni atapona kweli?Sabaya akirudu uraiani , shaba inahusu,
Wapo wanatafuta formula mpya ya sabuni akitoka atakateSABAYA ni jambazi tu sheeeik
Hata mjaribu kumsafisha, Hasafishiki.
Mataumbuka sana...Nyie ndio mawakala wa shetani.
Kumbe mleta uzi ni Musiba Mulaga a.k,a Veronica France!!!??Sawa Musiba, vipi umepona? Maana ulivyohojiwa kuhusu kutowalipa mshahara wale wajinga wenzio ukasema unapambania uhai wako unahisi mwendakuzimu anakuita
Ni bora umwombee akae hukohuko uraiani hali itakuwa Ngumu sana kwake.Mbio za sakafuni huishia ukingoni,Sabaya atatoka.
Pole kama ndo umemfahamu leo!Kumbe mleta uzi ni Musiba Mulaga a.k,a Veronica France!!!??