SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Mademu wa jambazi Sabaya tulieni kwanza bwana wenu aliwe kiboga kwanzaLeo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai bwana Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakamani kwa mara ya tatu huku mashahidi wakishindwa kufika mahakamani na kusababisha kesi kusogezwa mbele hadi tarehe 16/7/2021.
Kwa tuhuma alizokuwa akiporomoshewa Sabaya inashangaza kusikia kuwa hamna mhanga hata mmoja wa Sabaya aliyefika mahakamani kutoa ushahidi wake.
Hata Mbowe ameshindwa kufika kutoa ushahidi??