johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Rais Samia anawatunuku kamisheni maafisa wapya wa JWTZ, tukio liko mubashara TBC, ITV na Channel ten.
Updates;
===
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na kuwatumikia kamilisha maafisa wapya wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ) katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli.
- Rais Samia amewasili katika katika Chuo cha mafunzo Monduli.
- Magwaride mbalimbali yanaendelea katika viwanja hivi.
Updates;
===
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na kuwatumikia kamilisha maafisa wapya wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ) katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli.
- Rais Samia amewasili katika katika Chuo cha mafunzo Monduli.
- Magwaride mbalimbali yanaendelea katika viwanja hivi.