ARUSHA: Rais Magufuli awatunuku Kamisheni maafisa wapya 422, atangaza nafasi 3000 za wanajeshi wapya

LAKINI WAKUU, MWENYEWE KASEMA KUWA URAIS ALIOMBA KWA KUJARIBU AKASUKUMIZIWA


KUANZIA LEO SITAMLAUMU MAGUFULI, URAIS HAUKUWA MOYONI MWAKE, TUMLAUMU ALIYEMSUKUMIZIA.

PLEASE MR. PRESIDENT, KAMA KWELI ULISUKUMIZIWA, TUNAOMBA 2020 JITOE, PLZ..

MH. SIASA KWENYE SHUGHULI YA KIJESH NI HARAMU, TENA HARAMU KULIKO HATA KUZINI.
 
Na wasi wasi na IQ ya mtu hapo. Haiwezekani kabisa mambo ya jeshi yakanogeshwa na siasa majitaka
 
Kwa hivyo hizo habari za kurudi CCM zinafanyika hapo hapo uwanjani kwenye parade ya ku kamisheni maofisa wapya?
 
KUHUSU BEI YA SUKARI MKUU, KABLA YA KUINGIA MADARAKANI SUKARI ILIKUWA 1800

UKAPIGA MARUFUKU SUKARI YA NJE.

BEI IKAPANDA MPAKA 6000

MPAKA LEO BEI HAIJARUDI ILE YA ZAMANI NA HAKUNA BEI MAALUMU.

MWISHO, TUNAOMBA IKULU ITUMIE UTARATIBU WA KUANDAA HOTUBA. KAULI YA RAIS NI KAULI NZITO HVYO LAZMA KUWA NA MAANDALIZ YA KINA, VINGNEVYO ITAFIKA HATUA WATAPUUZA HOTUBA ZA MKUU.
 
Kweli tuna rais asiye na mpangilio wa mambo. Speech zile zile za kusafirisha tani moja kujenga reli na bei ya sukari anarudia kila siku. Hadi leo anashukuru kwa kuchaguliwa. Kwani si alishafika Arusha na kushukuru. Hawa madiwani na huko jeshini wamefuata nini?
 
Nimewapenda jinsi walivyo slim bila vitambi.
Naomba kujua kwanini rais licha ya kuwa kwenye eneo kama lile lakini bado wale wazee wa suti wako nae Benet na uangalizi mkuu!?
Watu "wasiojulikana" wanaweza kumshambulia "mtu yeyote" yule nchini; kwa sababu "hawajulikani" kama ni raia wa nchi hii ama ni kutoka nje; wala malengo yao "hawajulikani", hivyo ni busara kwa kila mtanzania(akiwemo rais) kuchukua tahadhari.
 
Tena tatizo kubwa
Ngoja nimuite JokaKuu nae atie neno.

Hadi ile taasisi imeingiliwa leo

..yapo aliyosema yanakubalika. Kwa mfano kueleza kile ambacho serikali yake imefanya.

..lakini hili la CCM kupokea wanaohama vyama ktk tukio la kutoa kamisheni kwa askari wapya halikubaliki.

..Ni jambo baya lililokosa uungwana na maadili.
 
LAKINI WAKUU, MWENYEWE KASEMA KUWA URAIS ALIOMBA KWA KUJARIBU AKASUKUMIZIWA


KUANZIA LEO SITAMLAUMU MAGUFULI, URAIS HAUKUWA MOYONI MWAKE, TUMLAUMU ALIYEMSUKUMIZIA.

PLEASE MR. PRESIDENT, KAMA KWELI ULISUKUMIZIWA, TUNAOMBA 2020 JITOE, PLZ..

MH. SIASA KWENYE SHUGHULI YA KIJESH NI HARAMU, TENA HARAMU KULIKO HATA KUZINI.
Ni Biblia na kurani tu ndiyo huwezi badilisha kitu..mengine yote yanabadilishwa kijana, sijui hata hiyo elimu inawasaidia nini, taifa limekosa nini kwa kubadilisha mazoea ya sherehe hii, orodhesha...
 
Kweli tuna rais asiye na mpangilio wa mambo. Speech zile zile za kusafirisha tani moja kujenga reli na bei ya sukari anarudia kila siku. Hadi leo anashukuru kwa kuchaguliwa. Kwani si alishafika Arusha na kushukuru. Hawa madiwani na huko jeshini wamefuata nini?
Subiri siku ukiwa rais utafanya haya unayosema..
 
kwani wakipeana kwenye makambi yaohaitoshi? Kuna siku chuo kikuu mahafali yatapelekwa uwanja wa Taifa.
Na Watu watashangilia tu.
Mkuu nakumbuka bunge live
Tuliambiwa tusiangalie tunapoteza muda WA kazi
Nimepigwa butwaa sijui Leo walikuwa wanaokoa muda hapo kwenye mkutano
 
Sasa anavyosema kuwa ilikuw 5000 mpaka 6000 anamdanganya nani?
Anajidanganya mwenyewe. Yeye ndiye aliyesababisha sukari kupaa na kufikia hiyo bei ya 5000/= hadi 6000/=. Alipokurupuka na kupiga marufuku kuingiza sukari ya nje kabla ya kujua nchi ina kiasi gani na mahitaji ni kiasi gani. Uamuzi huo ndio uliosababisha hadi sasa sukari haikurudi tena kwenye sh 1800/=.
 
Back
Top Bottom