Ngozi nyeusi tabu sana,kuna ubaya gani nikikaa na madini niuze mwakani 2020?
Hapo unakuta beberu yeye anajichotea tu tena anayapeleka kuuza Bondeni kwa Madiba.
Watu weusi tuna matatizo mengi sana.
Mi nafikiri kodi inalipwa wakati wa kuuza,
ila kama nimetunza haina shida maana sijayauza bado nasubuiri solo lichangamke. Tunaomba mwenye uelewa juu ya hili atuelimishe tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.