Arusha: Polisi waimarisha ulinzi

Filipo

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
9,342
5,536
Katika kile kinachoelezwa kuwa ni kuimarisha ulinzi katika jiji na kujihami na machafuko yoyote yanayoweza kuhatarisha amani, polisi wameweka doria katika maeneo ya Kikatiti na Kia kwenye barabara itokayo Moshi kuelekea Arusha na wanapekua magari yanayoelekea Arusha yanayotiliwa shaka. Binafsi nimekutana na vizuizi hivyo na kusimamishwa kisha kupekuliwa kabla ya kuniruhusu kuendelea na safari. Nilipouliza kulikoni kutoka kwa askari aliyekuwa anatukagua nikaelezwa ni mkakati wa kuhakikisha hakuna silaha zinazopelekwa Arusha ili kuzuia machafuko yanayoweza kutokea. Na mkakati huo unalenga kupekua gari zote watakazozitilia shaka ilimradi tu zinaelekea jiji la Arusha.

Mytake: Kama jeshi limeingiwa na hofu kiasi hicho, kwanini wasiishauri mahakama kupitia serikali kumwachia Lema ili hali irudi kuwa ya kawaida!?

TAFAKARI!
 
I think your take is very correct and I absolutely concur with you. My worry is, our judiciary is not an independent pillar as it is claimed in the constitution. It is not easy for a court to decide on its own in Tanzania, and especially when it comes to a political case like that one. Now, I think they are waiting for a directive from whoever instituted them there. This is very absurd.

Hell everyone who loves CHAMA CHA MAPINDUZI. DIE YOUNG MOTHER F**K
 
Nimeongea na rafiki aliyetokea babati jioni hii na ameniambia amekutana na vizuizi vi2 njiani na wamepekuliwa!
 
Serikali inapoanza kuwaogopa wananchi wake.....i cant predict tomorrow, just time will tell
 
sasa mbna wanaogopa Al-Shabaab wakati wana uwezo wa kukagua na kupekua?
 
Serikali inapoanza kuwaogopa wananchi wake.....i cant predict tomorrow, just time will tell



Hali ya namna hiyo ni hatari sana hasa kwa utawala usiokubalika na wananchi. Ndio maana wanafikia hatua ya kuwashambulia na kuua hovyo watu!
 
Nimepita uwanja wa nmc sasahivi nikitokea ungaltd nimekuta cruiser 2 pick up na haice za polisi zikiwa na askari zaidi ya 10 kila moja wakiwa na mabomu na bunduki tayari kwa mapambano. Inaonekana wamemwagwa wengi katika viunga mbalimbali vya jiji. Ninachojiuliza ni kwamba, bado wanahofu kubwa kiasi hiki! Je ikifika j3 ambapo Lema atapelekwa mahakamani?
Kaazi kwel kwel!
 
Kaka sio hiyo tu kuna waraka mmoja mkali sana hapa watu kibao wameusoma jamaa wametoa siku 100 nchi hii tutaheshimiana. Huo waraka uko Arusha nasikia watu wanagawiwa kama njugu. Mods waliutoa lakini tayari watu walikuwa na copy. Mambo yaliyoandikwa ni mazito na ya ukweli mtupu na jamaa nasikia watafanya kweli mapema iwezekanavyo
 
hivi siku ya kupelekwa Lema mahakamani itakuwaje?



Nadhani hiyo siku mabomu na risasi vitarindima vibaya hapo mahakamani. Maana kauli za polisi na kamati za usalama zinathibitisha kuwa polisi wamedhamiria kupambana na wananchi. Hapa Arusha, kazi ipo!?
 
tuombee na hayo machafuko yasitokee
Nadhani hiyo siku mabomu na risasi vitarindima vibaya hapo mahakamani. Maana kauli za polisi na kamati za usalama zinathibitisha kuwa polisi wamedhamiria kupambana na wananchi. Hapa Arusha, kazi ipo!?
 
Back
Top Bottom