Arusha noma: Aliyekuwa diwani wa Kimandolu bwana Mallah aonja joto ya jiwe

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
leo majira ya Mchana maeneo ya December kata ya levolosi Diwani aliyesaliti akatimuliwa ameonja shoruba ya peoples power pale alipoenda mitaa hiyo maarufu kwa kuuza spea kutafuta spea na kukabiliwa na wakati mgumu pale alipoambiwa kwamba hawawezi kumuuzia spea kwani yeye ni msaliti wa mabadilikoo ya Taifa hili , na ndipo alipoanza kuzomewa na wananchi na kutaka kupigwa ndipo akatoa bastola hili ajitetee . ilikuwa ni noooooma
 
leo majira ya Mchana maeneo ya December kata ya levolosi Diwani aliyesaliti akatimuliwa ameonja shoruba ya peoples power pale alipoenda mitaa hiyo maarufu kwa kuuza spea kutafuta spea na kukabiliwa na wakati mgumu pale alipoambiwa kwamba hawawezi kumuuzia spea kwani yeye ni msaliti wa mabadilikoo ya Taifa hili , na ndipo alipoanza kuzomewa na wananchi na kutaka kupigwa ndipo akatoa bastola hili ajitetee . ilikuwa ni noooooma

Arusha washamba sana
 
Wangemshikisha adabu kidogo mpuuzi huyo. Na angefyatua tu ka A.RAGE kake angetafunwa nyama yake mbichi.
 
..acha waumbuke, hakuna binaadamu anayeweza kuzuia mabadiliko, Gaddafi alijaribu akachemsha! USA walijaribu wakashindwa, Moi alijaribu akashindwa, n.k.
 
Mbona Arusha watu washamba sana kama mimi ndio ningekuwa huyo diwani ningevunja miguu hata wahuni wawili na bastola
 
Watu wanakaa vijiweni hawana kazi wanakunywa viroba tu.

Unadhani mtu kama yupo ofisini kwake hana muda wakuzomea mtu
 
Acheni siasa za maji taka na ushabiki wa kijinga wa vyama, kwake kufanya maamuzi aliyofanya na hatimaye kufukuzwa sio dhambi ya kumtendea hayo wala kumdhihaki kwa mambo ya kidunia(siasa za kupita).Chadema ama CCM pia CUF si dini kusema zipo na zitadumu milele,Tambua haki za binadamu katika katiba na usaidie kuwaelimisha hao wenzio ambao siasa wamegeuza ''uadui''.
 
Mbona Arusha watu washamba sana kama mimi ndio ningekuwa huyo diwani ningevunja miguu hata wahuni wawili na bastola

What do you mean by ' Arusha washamba sana' ? Ushamba wao ni kupenda mageuzi, au kutoshabikia mafisadi? I once questioned your thinking capacity. People like you should be castrated so as to eliminated such gene in the society.
 
What do you mean by ' Arusha washamba sana' ? Ushamba wao ni kupenda mageuzi, au kutoshabikia mafisadi? I once questioned your thinking capacity. People like you should be castrated so as to eliminated such gene in the society.

Giving advice but no one listens...ache ushamba nyie vijana wa Arusha!
 
Safi sana dawa ya swasaliti ni hiyo tu kuwaonesha kuwa hatuwataki hii itasaidia siku nyingine hatutasalitiwa na vibaraka tuliowachagua
 
Mahakama ilishatupilia mbali pingamizi lao, kwahiyo ruksa kuwazomea!
 
Back
Top Bottom