Arusha ni njema (nimekulaje nyama!!??)! Kila atakae na aje!

aisee karibu tena,Ar mjini lami mitaa mingi sasa!pale chini ya technical kuna kasehemu kanaitwa Narok,hebu pitia ukipata kamda!!naona wadau wengi wameishakuambia wapi pakufikia na sasa najua upo mmepumzika,na kabaridi haka,lol
 
jombaaa.....huko unakokwenda kula mshikaki.....kuna idadi kubwa sana ya ajali za mbwa barabarani....ukianza kubweka....usiseme sikukuonya......utafrahii....

Kwani nini.....Pateni diet kwa raha zenu...Mbwa labda huko chini kwa wanyalukolo!
 
aisee karibu tena,Ar mjini lami mitaa mingi sasa!pale chini ya technical kuna kasehemu kanaitwa Narok,hebu pitia ukipata kamda!!naona wadau wengi wameishakuambia wapi pakufikia na sasa najua upo mmepumzika,na kabaridi haka,lol

Shukrani boss!
 
jombaaa.....huko unakokwenda kula mshikaki.....kuna idadi kubwa sana ya ajali za mbwa barabarani....ukianza kubweka....usiseme sikukuonya......utafrahii....

Mhandisi acha kumbania mgeni,hivyo ndivyo vionjo anapaswa avipate kwanza kabla ya kumpeleka yale maeneo yetu...bado niko kny mradi wa kambi ya nyoka mpaka kimba,tuchekiane...
 
Mhandisi acha kumbania mgeni,hivyo ndivyo vionjo anapaswa avipate kwanza kabla ya kumpeleka yale maeneo yetu...bado niko kny mradi wa kambi ya nyoka mpaka kimba,tuchekiane...

Heshma mkuu. Shukrani
 
Mhandisi acha kumbania mgeni,hivyo ndivyo vionjo anapaswa avipate kwanza kabla ya kumpeleka yale maeneo yetu...bado niko kny mradi wa kambi ya nyoka mpaka kimba,tuchekiane...

mhandisi nimekusoma.....lakini nakuasa....endelea kula nyama kambi ya chupa....kwa fisi hakukufai.....
 
Arusha ni njema jamani! I love the City. Kwanza nimesoma Ilboru A level, so I know it. Sasa nimekuja kwa programu fupi

tuu ya wikiendi hii. Nimekulaje mishkaki! Hii barabara ya Nairobi (kambi ya fisi) chini kidogo ya technical kuna mzee

anapika mishkaki ya ukweli. 300/= tuu! But imagine mtu anakula 20 chap chap. Sasa wadada na wamama wanakuja peke

yao (sijui waume/mabwana zao wakwapi!)
Yaani hii mishkaki nyama za kwa mromboo hazioni ndani.

Na nimefurahi sana barabara zote za mitaani ambazo zilikuwa za vumbi sasa wameweka na wanaendelea kuweka lami.

What a lovely town! I love it! Taarifa ziwafikie YNNAH, Erickb52, Filipo, PakaJimmy, daudi, fabinyo,
Mungi, LiverpoolFC marejesho, Jackbauer na matwi kuwa nipo Arusha japo kwa siku mbili! Hebu nishaurini

kahotel kazuri kakufanyia honeymoon na my sweetie lilito jeneneke! Halafu mnipe na nyingine kwa ajili ya mzee

mzima Kaizer na mpenziwe gfsonwin wajikumbushie enzi zao! Pole Bishanga bukoba mna nini cha kujivunia zaidi

ya senene!

Wamama na wadada wamekuja peken yao my dear baada ya kujua na wewe upo mwenyewe wanajaribu bahati yao,si umeniacha ili isijulikane upo commited?
 
Naam Ronn M nadhani wewe mwenyewe umethibitisha maneno ambayo Erickb52 alikuwa anayesema kila kukicha kuwa "Ukitaka jiji la kuishi njoo Arusha."

Kusuhu hotel nzuri kwa ajili ya honey moon zipo nyingi sana ila kwa upande wangu mimi naipendelea zaidi Ngurdoto Mountain Lodge kwanza kabisa kutokana na mandhari yake na ubora wa huduma wanazotoa

02TNGU-IM1002-ngurdoto-lodge-900.jpg



ngurdoto.jpg



stone-rhino-s-at-the.jpg



ngurdoto-mountain-lodge-Tanzania1.jpg
 
Last edited by a moderator:
hivi mtu atajengaje hotel kubwa namna hio sehemu kama tanzania,ambapo majoority ya watu wanaishi under one/two dollar per day?if you want to invest invest where money is,nenda ulaya amerika kajenge limansion lako hela yako itarudi....sio kujenga katikati ya wimbi la umasikini where everybody anawazia tumbo lake tu infact hata kula yake ya siku haijui itakuwa\je...i have vivid examples kuna mmoja alikuwa na hoteli mwanza staff walikuwa wakiingia shift wakitokA wanatoka na vifurushi(mafuta vitunguu)....mpaka yule mama akafilisika,na mahoteli makubwa sheraton sijui golden tulip yamekuwa yakistrugle ku make profit ndio maana kila mara yanabadilisha wamiliki.kkwa watanzaniaa viban da vya chips na mama ntilie vinawafaaa mpaka hapo mtakapobadilisha attitude zenu kuwa mmiliki wa hoteli kama hio ni tajiri hivyo kumuibia kidogo kidogo haina impact.i swear nikipata hela sitainvest a penny in tanzan ia....i have lived there for 19 years of ,my life so yo cant tell me shit......................well may be a house nikifukuzwa nchi za watu lol but nothing else.....
 
Ronn M karibu sana Arusha upate raha aisee hope wadau wengine wamekusikia na watakuja kutusalimia
 
Last edited by a moderator:
Naam Ronn M nadhani wewe mwenyewe umethibitisha maneno ambayo Erickb52 alikuwa anayesema kila kukicha kuwa "Ukitaka jiji la kuishi njoo Arusha."

Kusuhu hotel nzuri kwa ajili ya honey moon zipo nyingi sana ila kwa upande wangu mimi naipendelea zaidi Ngurdoto Mountain Lodge kwanza kabisa kutokana na mandhari yake na ubora wa huduma wanazotoa

02TNGU-IM1002-ngurdoto-lodge-900.jpg



ngurdoto.jpg



stone-rhino-s-at-the.jpg



ngurdoto-mountain-lodge-Tanzania1.jpg
We kijana umenifanya nitamani sana kwenda kula raha ngur....maana dah pametulia sana kule
 
Back
Top Bottom