MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Mgombea Urais kwa tiketi ya chama kikongwe Afrika, chama tawala ccm mheshimiwa John Magufuli akiwa Arusha katika mkutano wake wa kampeni jijini humo alisema anataka kuifanya Arusha kuwa kama jimbo la Calfonia
Ikumbukwe kuwa jiji la Arusha lilitangazwa kuwa ni Geneva ya Afrika miaka kadhaa iliyopita.
Je ni sababu ipi iliyotumika ya kuvua hadhi ya Geneva ya Afrika na kulifanya jiji kuwa Calfonia?
Watu wa Arusha tunajivunia Geneva yetu
Ikumbukwe kuwa jiji la Arusha lilitangazwa kuwa ni Geneva ya Afrika miaka kadhaa iliyopita.
Je ni sababu ipi iliyotumika ya kuvua hadhi ya Geneva ya Afrika na kulifanya jiji kuwa Calfonia?
Watu wa Arusha tunajivunia Geneva yetu