hayo maneno ya uswahilini yasikutishe mkuu arusha sio bububu hawatfanya chochote chugga watu wamesha komaaNaendelea Kulaani vikali kauli zilizotolewa na Viongozi wa CUF kwanyakati tofauti kwenye mkutano wao wa ndani.......... . sorry mkutano wao wa wazizi hivi majuzi hapa Arusha eti Vijana na nguvu kazi ya Arusha inatumiwa vibaya na wanasiasa na eti tunaongwa Viroba ya pombe ili tufanye fujo! kwakweli kauli hizi zimejeruhi nafsi yangu na vijana wapenda mabadiliko wa Arusha kwa sababu
1) Vijana wa Arusha hatuja wahi kufanya fujo yeyote ya kisiasa zaidi ya kuunganisha sauti zetu na kukataa dhuluma na ufisadi
unaofanywa na chama Tawala kwa wananchi wa Tanzania
2) Pili hatuja wahi kuongwa viroba na kiongozi yeyote yule wakisiasa ili tukafanye fujo na wala hatupo tayari kuhongwa viroba ili
tufanye fujo yeyote.
3) Tatu hakuna kijana yeyote mkoani Arusha anatumika au kutumiwa kisiasa Vijana wa Arusha tunajielewa na tunataka ukombozi wa kweli wa kifikra, uhuru,na uchumi.
4) Nne harakati za kutafuta ukombozi hapa Arusha si kazi ya vijana peke yake, kuna Wazee, Umri wa kati, Vijana na watoto. baada ya kutabanaisha haya Natoa Rai kwa uongozi wa CUF popote pale walipo: Kwana wafute kauli na matamshi yao waliyo yatoa
hadharani Pili uongozi wa CUF uwaombe radhi Vijana wa Arusha na wapenda maendeleo kwa ujumla kwa kudhalilishwa na kwa
nafsi zao zilizo jeruliwa kwa kauli hizo.
Nawasilisha.
Aim sorry to say this but vijana wa arusha wanatumika vibaya na wanasiasa .. maneno ya cuf Yamaha ukweli ndani yake
Aim sorry to say this but vijana wa arusha wanatumika vibaya na wanasiasa .. maneno ya cuf Yamaha ukweli ndani yake
Kwahiyo hapa unamaanisha yale mauwaji ya Janualy 2001 na moja kule Zanzibar CUF na hasa huyu Maalim Seif alikuwa anawatumia Wapemba kufanikisha Political Agenda na sasa amefanikiwa anakula mpaka amevimbiwa ndio anakuja na style ya nyani halioni kundule?
Hivi kuwasafirisha vijana kutoka Buguruni mpaka Arusha huku kama siyo kuwatumia tuwaitaje? CUF wanapaswa kuwaomba radhi vijana wa Arusha otherwise sintoshangaa next time nikisikia wamechezea mkong'oto kama alivyofanywa Mtikila kule Tarime.
Na huo ndiyo ukweli, nawaunga mkono CUF kwa kusema ukweli, mnatumiwa vibaya na wanasiasa mnasahau haki na wajibu wenu kuendeleza nchi
Hakika Cuf ni wakusamehe na washangaa kwa nini wanapambana na cdm!
Waambie vijana wa arusha wana makazi na majumba yao,hawakai vibarazani kwa wazazi kama temeke na zenji.
tena wameharibu kabisa, yanamtoka tu sasa maana hakuna kizuio! Tufiakwa!mbona wewe unatumika vibaya kuliko wale vijana wa arusha sisi hatusemi?