vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 2,668
- 5,264
Arusha ipi sasa mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliishi pande zipi aisee,sema ujakazaa mangiiNime ishia apo kwenye ukarimu tu.. chuga watu wana roho za ajabu tu amna watu kule
Basi kila la kheri mkuuSasa hivi nipo mabibo(nit) jitegemee Street,kesho nitalihamsha moro mkamba,silali chalianguu na saka doo
Arusha yote kwa ujumlakuanzia usa,majain ya chai,mto wa mbuu,ngulelo,tengeru,sekei,sanawari,kupanda ilboru,mianzini kushuka bondeni,kijenge,ungalimited,moshono,sakina ,mbauda,sinoni,ngusero,uswahilini,mate jo,levolosi,,kote huko ni full oggArusha ipi sasa mzee
Walikuteka nini chalii??😄😄😄😄Nime ishia apo kwenye ukarimu tu.. chuga watu wana roho za ajabu tu amna watu kule
Ile kitu mbona ogg sana,ndo maana hakuna kama arushaDaah, vijana wa Arusha na ile mishati yenu mikubwa kama parashuti na miviatu mikubwa kama meli.....
Aiseee, sijui huwa mnawazaga nini vichwani mwenu.......
Electric or gas cooker?My mother is best cooker
Sema dingii unakosea hivi kwa watu wajanja unaweza kuwafananisha na arusha,kwanza labda nikuuleze arusha vijana wa kule wajanja sana ,wanajitambua sana kule hukuti kijana mwenye umri wa miaka 18 anakaa na wazazi wake rudi sasa huku dar unapopaona mjini unakuta mzee jitu zima lipo kwao,ukiachana na hivyo rudi kwenye kusaka maisha vijana wadogo tu arusha wanamaendeleo yao,arusha wanajitambua sanaTukiachana na ule usela mavi, ujuaji mwingi na ushamba ambao baadhi ya vijana wa Arusha mnao...
Watu wengi wa ule mkoa ni amani sanaaaa, na wamenyooka kwenye harakati zao.....
Binafsi, nilipokelewa vizuri sana na wenyeji wa ule mkoa hasahasa Massai People.....
Walinipa Zawadi fulani ya shukrani na upendo, hadi leo ninayo nyumbani kwangu ninaendelea kuitunza......
OverratedTukiachana na ule usela mavi, ujuaji mwingi na ushamba ambao baadhi ya vijana wa Arusha mnao...
Watu wengi wa ule mkoa ni amani sanaaaa, na wamenyooka kwenye harakati zao.....
Binafsi, nilipokelewa vizuri sana na wenyeji wa ule mkoa hasahasa Massai People.....
Walinipa Zawadi fulani ya shukrani na upendo, hadi leo ninayo nyumbani kwangu ninaendelea kuitunza......
Bado utaambiwa hali nzuri ya hewa. Sijui huwa wanalinganishaNime ishia apo kwenye ukarimu tu.. chuga watu wana roho za ajabu tu amna watu kule
Hand cookerElectric or gas cooker?
😄😄😄aisee ni bora ulee watoto wako arusha kuliko kulea dar waje kuwa mashogaa,nawasaganajikwa pesa sawa.biashara kuna mzunguko wa pesa mzuri. ila kwa watu wa arusha, ni viumbe mojawapo washamba na wavuta bange tu. hata siwezi kulelea mtoto wangu pale atakuja kuwa jambazi.
Dar majengo tu,ila watu wa dar washamba sanaBwana mdogo, huu ndiyo ujuaji wenyewe niliokuwa nausema sasa.....
Kuamini kwamba mkoa wa Arusha unaweza kushindana na Dar es salaam......
mashoga wengi na wasagaji sasaivi wapo arusha. inaonekana hujui hilo.😄😄😄aisee ni bora ulee watoto wako arusha kuliko kulea dar waje kuwa mashogaa,nawasaganaji
Arusha ni mahala pazuri, japo huwa panakuwa Overrated......Overrated
Khaaa wewe arusha shoga hakatizi mtaa kama huamini jifanye shoga hukatize bondeni huone itatokea ninimashoga wengi na wasagaji sasaivi wapo arusha. inaonekana hujui hilo.
Dar kwenye pesa tu ila huku pabaya hata hakuna rahaArusha ni mahala pazuri, japo huwa panakuwa Overrated......
Kiukweli, nadhani hakuna sehemu kama Dar es salaam.......