kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
kwa wale walioko maeneo ya arusha wanaweza kuwa wamesikia kuna ongezeko la wizi wa nyaya za umeme.wizi huu umetokea maeneo ya tengeru zaidi ya mara mbili na hivyo kupelekea tanesko kufanya doria hadi usiku wa manane.
kwa mujibu wa Tanesco kumekuwa na uhujumu wa miundo mbinu yao maeneo mbalimbali arusha na hivyo kupelekea umeme kukatika bila kufuata ratiba ya mgao.wakuu mlioko arusha kama kuna mtu anfahamu mtandao huu wa wezi wa nyaya za umeme atujuze ili ushughulikiwe.ni aibu kuona mtu mmoja anakosesha umeme mkoa mzima!!
kwa mujibu wa Tanesco kumekuwa na uhujumu wa miundo mbinu yao maeneo mbalimbali arusha na hivyo kupelekea umeme kukatika bila kufuata ratiba ya mgao.wakuu mlioko arusha kama kuna mtu anfahamu mtandao huu wa wezi wa nyaya za umeme atujuze ili ushughulikiwe.ni aibu kuona mtu mmoja anakosesha umeme mkoa mzima!!