MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Mnaoongelea mvua nawashangaa sana........mimi nipo hapa kwa Idd......nilichoona ni tunyunyu tuwili tutatu......basi.....
Njoo mianzini.
Mnaoongelea mvua nawashangaa sana........mimi nipo hapa kwa Idd......nilichoona ni tunyunyu tuwili tutatu......basi.....
Mnaoongelea mvua nawashangaa sana........mimi nipo hapa kwa Idd......nilichoona ni tunyunyu tuwili tutatu......basi.....
Una ashki muhruji.
Mnaoongelea mvua nawashangaa sana........mimi nipo hapa kwa Idd......nilichoona ni tunyunyu tuwili tutatu......basi.....
Preta wacha utani hii mvua sio utani karibu yazui mazishi ya yule pailoti wa wanyamapori.
Njoo mianzini.
Lema ameshindwa hata kujenga mifereji ya kupitisha maji? Mkome kuchagua wahuni
Mazara yalio sababishwa na mvua hii ni kuangusha ukuta wa benki kuu BOT.
Ukapimwe akili...
Wewe ulikuwa wapi.........?
Mkuu lengio bado hii unaita madhara???!!! Meeku hebu acha hizo...andaa sandarusi, rambo, viroba na magunia ukakinge!! Inawezekana ndio mmeandaliwa mgawo wa escrow kupitia majanga ya asili!!
nilikuwa kijenge arena na picha nimeweka.
Ndio nimefika hapa Bampras.......mbona sioni hiyo mvua........?
Shuka mpaka hapa round about.
Nipo hapa NSSF Kaloleni........wewe upo kwa wapi........?
Nimepanda kiford naenda usa.