Arusha : Msaidizi wa Mwenyekiti wa mtaa apigwa na mwanachi na kumsababishia majeraha

Gerad2008

JF-Expert Member
Jun 9, 2009
583
287
Msaidizi wa mwenyekiti wa mtaa wa Moshono Kaskazini katika kata ya Moivaro iliyopo jijini Arusha siku ya jumamosi saa nne asubuhi alishambuliwa kwa fimbo na kijana ajulikanaye kama Riziki Lotha Mollel. M/mwenye kiti huyo ajulikanaye kama Prudence Muki alikwenda nyumbani kwa Riziki Mollel kumtambulisha karani wa mahakama katika zoeoi la kumkabidhi hati za mashataka mengine yaliyokuwa yanamkabili.

Ghafla Riziki baada ya kumwona mwenyekiti huyo aliingia ndani na kutoka na fimbo na kuanza kumshambulia mwenyekiti na kusababisha karani huyo kukimbia kuokoa maisha yake had majirani walipojitokeza na kumsaidia mwenyekiti asiendelee kupata kipigo. Mwenyekiti alipata majeraha mikononi ,kichwani na aliweza kufika hospitali na kupatiwa matibabu .

Polisi walipewa taarifa lakini hadi Jumapili jioni riziki alikuwa hajakamatwa bado.
Tunaomba jeshi la polisi limtafute huyu kijana hatari kwani ametangaza lazima aue mtu na majirani haswa wasio na uhusiano mzuri naye hawana amani.
 
Du kama mwenyekiti wa serikali anapigwa na jamaa bado anatamba je itakuwaje sisi wa kawaida?
 
Msaidizi wa mwenyekiti wa mtaa wa Moshono Kaskazini katika kata ya Moivaro iliyopo jijini Arusha siku ya jumamosi saa nne asubuhi alishambuliwa kwa fimbo na kijana ajulikanaye kama Riziki Lotha Mollel. M/mwenye kiti huyo ajulikanaye kama Prudence Muki alikwenda nyumbani kwa Riziki Mollel kumtambulisha karani wa mahakama katika zoeoi la kumkabidhi hati za mashataka mengine yaliyokuwa yanamkabili.

Ghafla Riziki baada ya kumwona mwenyekiti huyo aliingia ndani na kutoka na fimbo na kuanza kumshambulia mwenyekiti na kusababisha karani huyo kukimbia kuokoa maisha yake had majirani walipojitokeza na kumsaidia mwenyekiti asiendelee kupata kipigo. Mwenyekiti alipata majeraha mikononi ,kichwani na aliweza kufika hospitali na kupatiwa matibabu .

Polisi walipewa taarifa lakini hadi Jumapili jioni riziki alikuwa hajakamatwa bado.
Tunaomba jeshi la polisi limtafute huyu kijana hatari kwani ametangaza lazima aue mtu na majirani haswa wasio na uhusiano mzuri naye hawana amani.

Mnaendaga tu nyumbani kwa watu weekend kupeleka mavitu ya mahakama, kulikuwa kuna shida gani kungoja siku ya kazi au kumfuata mtu kazini au kumpigia au appointment? HAWA VIONGOZI WASIO NA DARASA NI TATIZO KUBWA.... Kakosea kumpiga, lakini hawa viongozi wanajidai miungu watu!
 
Mnaendaga tu nyumbani kwa watu weekend kupeleka mavitu ya mahakama, kulikuwa kuna shida gani kungoja siku ya kazi au kumfuata mtu kazini au kumpigia au appointment? HAWA VIONGOZI WASIO NA DARASA NI TATIZO KUBWA.... Kakosea kumpiga, lakini hawa viongozi wanajidai miungu watu!
Hivi unaipigaje serikali au ndio yale ya Mwamwindi yanataka kujirudia? serikali ikomeshe hii hali maramoja
 
Mnaendaga tu nyumbani kwa watu weekend kupeleka mavitu ya mahakama, kulikuwa kuna shida gani kungoja siku ya kazi au kumfuata mtu kazini au kumpigia au appointment? HAWA VIONGOZI WASIO NA DARASA NI TATIZO KUBWA.... Kakosea kumpiga, lakini hawa viongozi wanajidai miungu watu!
Huyu Bwana ni fundi mason na hana ofisi inayoeleweka na kwa taarifa amekuwa akimtesa hata mjane wa marehemu kaka yake na kuwaadhibu na kuwatusi watoto wake ambao ni mabinti wawili
 
Mnaendaga tu nyumbani kwa watu weekend kupeleka mavitu ya mahakama, kulikuwa kuna shida gani kungoja siku ya kazi au kumfuata mtu kazini au kumpigia au appointment? HAWA VIONGOZI WASIO NA DARASA NI TATIZO KUBWA.... Kakosea kumpiga, lakini hawa viongozi wanajidai miungu watu!
Hakuna justification ya kumpiga mwakilishi wa wananchi ni bora angesema nitafuteni siku ya kazi lakini kupiga ni kosa la jinai
 
Du anarchy. Inashangaza bado huyu kijana anazunguka mitaani hata baada ya kuidhalilisha serikali na wananchi waliomchagua mwenyekiti wao.
 
Serikali kupitia jeshi la polisi inatakiwa ifanye Demo ya nguvu ili isirudiwe tena na iwe fundisho kwa mtu yeyote atakayejaribu kumdhuru mwakilishi halali wa wananchi. Hii ni dharau kubwa!!!!
 
Back
Top Bottom