Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,173
- 1,092
Habari zote zilipigwa stop hata hapa jf ilikuwa
Hivi haya mauaji yalipigwa marufuku kuripotiwa?
Hivi haya mauaji yalipigwa marufuku kuripotiwa?
Kabisa watu wanaamua kumalizana kwa stahili hiiiMahakama isipotenda haki basi amani itatoweka by Jaji Siyani!
Zimezid hapa JF zilikua zinaketwa ila sio kwa spidi hiiHabari zote zilipigwa stop hata hapa jf ilikuwa
Rudisha faster hicho kichwa wewe jamaa tumor a decent burial
Watanzania hatuna roho za kiuaji na kinyama kama hizi bila shaka hawa watu wa kanda ya kaskazini si watanzania kwa vinasaba. Ni vyema wangekuwa Kenya tu.
Ebu ficha upuuzi wako Mara mojaWatanzania hatuna roho za kiuaji na kinyama kama hizi bila shaka hawa watu wa kanda ya kaskazini si watanzania kwa vinasaba. Ni vyema wangekuwa Kenya tu.
Nani kakudanganya...Watanzania hatuna roho za kiuaji na kinyama kama hizi bila shaka hawa watu wa kanda ya kaskazini si watanzania kwa vinasaba. Ni vyema wangekuwa Kenya tu.
Arusha umafia kitambo sana upoHapo kama namuona NOYAN akiagiza aletewe kichwa cha adui yake 😁
Haya mauwaji yamerudi tena, mikoa iliyo na wakristo ndiyo maafa yanafanyika zaidi, lakini pwani kwa waislamu haya mambo hayapo. Ingawa naishi mkoani lakiniii ukweli usemwe
Kazi iendelee.Kila mbuzi kwa urefu wa kamba yake.
Shule ya huko Arusha mmiliki ni mayor wa jiji. Pole sana kwake Mh.Mbna hii hbr ipo nusu nusu
Shule gani hyo
Iko wapi hyo shule
Lakini hiyo kamba ya kufungia vichwa vya watubona inatisha? "I would rather stay poor" JHC.Kila mbuzi kwa urefu wa kamba yake.