Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,039
- 2,199
Niko usawa wa mita 200 kutoka office za manispaa ya arusha kwa mda wa masaa mawili sasa. Hali ya hapa si shwari kwani kuna tetesi kuwa lowasa amefika na kufanya kikao na mgombea wa chadema.
Kwa muda wote wafuasi wa CHADEMA ndio waliokuwa wamejaa ila sasa wafuasi wa CCM wameanza kupita hapa maeneo ya clock tower.
Anyway watu bado tunasubiri kwa hamu kujua nini kitaendelea.
Stay tuned for more information.
Kwa muda wote wafuasi wa CHADEMA ndio waliokuwa wamejaa ila sasa wafuasi wa CCM wameanza kupita hapa maeneo ya clock tower.
Anyway watu bado tunasubiri kwa hamu kujua nini kitaendelea.
Stay tuned for more information.