Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
katika hali isiyo vumilika mji wa Arusha umekuwa ikubwa na upasukaji/kuziba kwa mabomba ya maji machafu( mavi) na kusababisha kero kubwa kwa wakazi wa Arusha na mbaya zaidi kila linapotokea tatizo hili huchukua siku si chini ya siku tatu kutatuliwa na maeneo sugu kabisa ni kuzunguka uwanja wa Sheikh Amri Abeid, makongoro Road na barabara ya uhuru lakini ya leo imenikera kuliko siku zote kwani ukipita barabara ya uhuru utakuta mavi siyo maji ya mavi barabarani na ukipandisha hii barabara ya sokoni karibu na Pallson Hotel napo mambo ni hovyo kabisa sasa najiuliza huu ni mji wa kitalii au mji wa mavi...
hii ni mizinga ya kinyesi kama inavyoonekana karibu kabisa na soko kuu la Arusha....
hii ni mizinga ya kinyesi kama inavyoonekana karibu kabisa na soko kuu la Arusha....