Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
... Ni moja ya mji ambao sikutegemea kukuta hii biashara ya kuuza karanga za vijiko na visoda na mihogo kama ilivyo miji ya ukanda wa pwani..
Watu wa miji ya pwani walisifika sana kwa ulaji wa karanga, mihogo na pweza kila kona ya mji ni lazima kukuta meza ya pweza na kachori.
Mambo yanabadilika kwa kasi miji mingi kama mwanza, kahama, dodoma na mingineyo.
Nitabiria miji ya kaskazini(arusha).. Biashara ya pweza na kachori itaingia.
Kufikia hapo hatutakuwa zile notion za wa dar wala mikoani kwa vigezo vya hivi vyakula.
Hii ni chuga chaliii.....
Watu wa miji ya pwani walisifika sana kwa ulaji wa karanga, mihogo na pweza kila kona ya mji ni lazima kukuta meza ya pweza na kachori.
Mambo yanabadilika kwa kasi miji mingi kama mwanza, kahama, dodoma na mingineyo.
Nitabiria miji ya kaskazini(arusha).. Biashara ya pweza na kachori itaingia.
Kufikia hapo hatutakuwa zile notion za wa dar wala mikoani kwa vigezo vya hivi vyakula.
Hii ni chuga chaliii.....